Naomba msaada kutoka kwa wataalamu wa Microsoft Excel

Naomba msaada kutoka kwa wataalamu wa Microsoft Excel

Nawapongeza wote waliochangia uzi huu bila kejeli wala mizaha .....nimefurahi kusoma comment zinazoonesha watu kuwa tayari kusaidia. Hii ndio faida ya mitandao .....mtu usichojua anajua mwingine hivyo hakuna mjuzi wa kila kitu......safi sana .......


yeah man , ts fil good kuona watu wana-try ku help kadri wawezavyo , thank guys, nimeingia u tube kuna tutorial kibao bt bado cjapata mbinu ya ku-download izo video na files
 
Ila nadhani kwa jinsi ulivyouliza swali lako.. utapata majibu mengi sn na mengine hayatakusaidia zaidi ya kukuchanganya.

Ingekuwa poa ukasema
nature ya kazi unayokwenda kufanya. Hiyo kitu ni pana sana utapata kizunguzungu bure
budgeting & financial analysis kaka, thanks
 
acha woga excel huwezi jua vyote..hata mafounder kuna vitu...yaan formula hawazijui..so kapambane...
 
Jifunze kupitia youtube mkuu, inasaidia sana.

Nimemaster asilimia kubwa ya excell kupitia youtube.
 
Hakika youtube videos zitakusaidia huko mbeleni, lakini sio kwa interview ya "kesho" pia " For dummies itakusaidia, excell pana sana, i consider my self an advanced user, lakini nadhani its just 20% of what excell is able
 
Tafuta youtubedownloader apps (YTD) ni rahisi sana

yeah man , ts fil good kuona watu wana-try ku help kadri wawezavyo , thank guys, nimeingia u tube kuna tutorial kibao bt bado cjapata mbinu ya ku-download izo video na files
 
Kupitia youtube nimejifundisha VBA, macros zimenivutia sana kwenye excell, potential business idea, ngoja nikomae kwanza
 
duh hii kitu ni pana sana, t luk lyk naenda kukamatwa
 
Wewe jipige brash tuu,,excel ina mambo meengi huwez maliza yote. Kikubwa uwe na idea ya kitu hata kidogo.
 
wala siyo pana kwa sisi tunayofanya kazi ni kila siku sidhani km ni ngumu,ni mwaka wa kumi sasa nafanya kazi na hii kitu huwezi nidanganya chochote
Kwema mkui naomba msaada wako, kwenye hili, jinsi ya kuweka alama ya $ automatically kwenye fomula nimejaribu wapi, kama hutojari mkuu naomba namba yako, tunaeeza kuongea mengi, kwenye stock control
 
Back
Top Bottom