Hopefully unatumia laptop. Wel hakikisha hizo 2computers zina wireless network adapter. Then nenda ktk laptop ambayo umeconect modem nenda kwenye network connections>create new network then chagua create adhoc cönection. Then utatengeneza jina na password ya characters kama 7 ivi after that turn on network sharing. Voilaa,yo gud 2 go
kuna switch inaitwa zyxel switch. kazi yake unaichomeka modem ya usb (tigo , airtel etc) na computer yoyote ile. ambayo ndio unaifanyia comfiguration. utaweza kutumia wired na wireless computer hata kumi. inauzwa kama elfu 80 hhivi. kama unaitaka ni PM
kama una ethernet cable ziunganishe computer zote mbili then kwenye properties za connection yako (pale taskbar notifications icon ya network) chagua sharing alafu tick "allow other users to connect through the computers connection" . kwisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.