Nitashukuru kujua mpaka kati ya Tanzania na Rwanda unapitia wapi hasa. Zamani maziwa magharibi mwa Karagwe tulikuwa tukiyagawana lakini sasa naona yote yamekimbilia Rwanda. Haya marekebisho yalitokea lini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.