gracious86
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 437
- 54
Habari ya muda huu wapendwa. Naomba msaada kuhusu kufanya top up ya mkopo crdb. Huwa inaruhusiwa muda gani baada ya kupata mkopo wa kwanza?;msaada wenu please. Mimi ni mtumishi wa umma
JARIBU KUWAPIGIA CALL CENTER YAO UWAULIZIEHabari ya muda huu wapendwa. Naomba msaada kuhusu kufanya top up ya mkopo crdb. Huwa inaruhusiwa muda gani baada ya kupata mkopo wa kwanza?;msaada wenu please. Mimi ni mtumishi wa umma
Aisee!!Unaruhusiwa baada ya miezi 6