Habari wakuu
Msaada jinsi ya kuflash modem ya huawei airtel
lakini siku hiz nikijaribu kuztumie zile file hususan huawei flasher haiend inaishia kuleta message ya can connect bye.... bye........
kama icha hii ioneshavyo
nifanyaje ili kuendelea kuitumia huduma hii kama awali
Habari wakuu
Msaada jinsi ya kuflash modem ya huawei airtel
lakini siku hiz nikijaribu kuztumie zile file hususan huawei flasher haiend inaishia kuleta message ya can connect bye.... bye........
MAULA hiyo huawei flasher unayo2mia ilkua ni trial version ambayo xax hv haifany kaz,
download huawei flasher version 1.6 HAPA
Ukiwa na hii huitaj hata kutumia QPST kubackup na kurestore ,,yenyew inauwezo wa kufanya yote hayo.
NB.;bt mar nying hii huawei flasher v1.6 inamatatizo ya kustack((Not responding))
Habari wakuu
Msaada jinsi ya kuflash modem ya huawei airtel
lakini siku hiz nikijaribu kuztumie zile file hususan huawei flasher haiend inaishia kuleta message ya can connect bye.... bye........
Asante
Ingawaje hii vasion ya 1.6 nlikua nayo nliipata baada ya kugugo bat changamoto nlokutana nayo haisomi pot zile moja kwa moja dat y nkaomba msaada.
So hii inabd uedit pot