Naomba msaada kuhusu Eutelsat@7e

Naomba msaada kuhusu Eutelsat@7e

wildfish

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2014
Posts
1,116
Reaction score
712
Jamani naomba kama kuna mtu yeyote ambae ana zijua BISS key za feeds(Hustler HD, Bein sport1, Bein sport2, equidia live TV, M6HD) kwenye Eutelsat@7e. naomba saada tafadhali.
 
Mkuu zimetiwa kufuli tayari. Jana zilikuwa hewani lakini leo scrambled. freguency 12522 h 27499 key 3184752A068163EA
 
freguency 12522 h 27499 key 3184752A068163EA. Sorry zimesharudi na zinapiga mzigo kama kawaida nazitazama hapa ,weka hizo key kwa kila chanel na endelea kuenjioi
 
Mkuu zimetiwa kufuli tayari. Jana zilikuwa hewani lakini leo scrambled. freguency 12522 h 27499 key 3184752A068163EA

Mkuu hivi natakiwa kutumia dish gani/ukubwa gani kupata hii kitu? Kwa sasa nina dish la 2.5ft,je linaweza kukubali?
 
Mkuu hivi natakiwa kutumia dish gani/ukubwa gani kupata hii kitu? Kwa sasa nina dish la 2.5ft,je linaweza kukubali?
Hilo linatosha kabisa kikubwa uwe na receiver ya Hd yenye uwezo wa kuedit biss key mfano Qsat. Exmaster n.k.
 
Natumia receiver ya Azam TV

hiyo hauwezi kupata huo utamu...

Tafuta Receiver ya Ibox 3030,ibox 4040 au HD box 8080 hapo kariakoo ni kuanzia 100,000/= mpaka 125,000/=

Au tafuta receiver jamii ya wiztech zenye kuingiza keys ni around 80,000/= mpaka 100,000/=
 
hiyo hauwezi kupata huo utamu...

Tafuta Receiver ya Ibox 3030,ibox 4040 au HD box 8080 hapo kariakoo ni kuanzia 100,000/= mpaka 125,000/=

Au tafuta receiver jamii ya wiztech zenye kuingiza keys ni around 80,000/= mpaka 100,000/=

mpeg4 mbona zina tofauti kubwa ya bei na nyengine
 
mpeg4 mbona zina tofauti kubwa ya bei na nyengine
Kuna features zinafanya uwepo wa tofauti wa bei na mahala zinakotoka pia huchangia upungufu wa bei au wingi wa bei
Bidhaa zinazotoka Dubai uwa na unafuu wa bei kulinganisha na zile zinazotoka china au Bidhaa zilizopitishwa majini lazima ziwe na tofauti ya bei na zile zilizopitishwa kwa DHL au Fedex
Ukija kwenye features, Receiver kama QSAT,AZSKY G6 zinazotumia GPRS yaani unaingiza line directly unapata internet ya 2G hapo hapo ina support 3Gmodem,WiFi device,LAN,Youtube,Youporn,IPTV na ina support BISS keys na card sharing protocols,Software upgrade by USB, haiwezi kua bei moja na receiver ya Wiztech 999 ambayo inaingiza BISS keys tu na tundu la ku upgrade software kwa USB
Hivo regardless ni MPEG4 kuna features zinazitofautisha receiver hizi

Sijui kama nimekujibu
 
Kuna features zinafanya uwepo wa tofauti wa bei na mahala zinakotoka pia huchangia upungufu wa bei au wingi wa bei
Bidhaa zinazotoka Dubai uwa na unafuu wa bei kulinganisha na zile zinazotoka china au Bidhaa zilizopitishwa majini lazima ziwe na tofauti ya bei na zile zilizopitishwa kwa DHL au Fedex
Ukija kwenye features, Receiver kama QSAT,AZSKY G6 zinazotumia GPRS yaani unaingiza line directly unapata internet ya 2G hapo hapo ina support 3Gmodem,WiFi device,LAN,Youtube,Youporn,IPTV na ina support BISS keys na card sharing protocols,Software upgrade by USB, haiwezi kua bei moja na receiver ya Wiztech 999 ambayo inaingiza BISS keys tu na tundu la ku upgrade software kwa USB
Hivo regardless ni MPEG4 kuna features zinazitofautisha receiver hizi

Sijui kama nimekujibu

kama ni mpeg4 inatosha sitaki smart receiver. ngoja nitazicheck
 
Samahani mleta mada na wengine je hizo BISS key ni kwa ajili ya nini?
 
Samahani mleta mada na wengine je hizo BISS key ni kwa ajili ya nini?
BISS keys ni Keys ambazo hazibadiliki ndani ya mda mfupi hivo kuwapa nafasi wale watakao zipata kuwezo kuona channel zilizofungwa ambazo labda ilibidi zipatikane kwa njia ya malipo tu

Mfano BISS keys zilizowekwa hapo juu ni kwa ajili ya channel zilizopo uelekeo wa Azam
Watu wengi wamezipenda hizi maana ubora wa Picha ni HD na Kuna Bein sports 1-2
Ila pia kuna channel ina Adult content
kwenye picha imewekewa Lock
fc2aa3a611718707b1c734e02c1a60ee.jpg
 
freguency 12522 h 27499 key 3184752A068163EA. Sorry zimesharudi na zinapiga mzigo kama kawaida nazitazama hapa ,weka hizo key kwa kila chanel na endelea kuenjioi

Mkuu Mimi nina king'zi cha skybox naomba unielekeze namna ya kuingiza hizo keys
 
Back
Top Bottom