zee la weza
Senior Member
- Feb 7, 2012
- 190
- 29
Naomba maelekezo namna yakuingiza hizo keys
Natumia hicho king'amz nlikuwa napata dstv channels sasa account imeisha, npeni maelekezo namna ya kuingiza hizo keys.
Hiyo hapo npe maujanjaSkybox,Openbox na Dreambox huwa sio childs play kuingiza BISS keys
Mm nina Openbox v8 ila it took me a day kuja kuelewa wanaweka je BISS keys na hii ilikua kwa njia ya Softcam.key/constant.cw
Ila kwa kua ulikua unatumia CCcam nta assume una uelewa kidogo na itakua rahisi kwako
Kwanza tafuta "Conditional access" au "Camd setup" au "CS prtocol" kwenye receiver yako
Ukiona menu moja wapo au mbili zifungue afu nipigie picha ntakujulisha njia gani tutumie
Hiyo hapo npe maujanja
Mavoko nakusubir
SABC1,2,3 ni channel za Starsat/StartimesMkuu njunwa wamavoko kwenye uelekeo wa Zuku nimescan na kupata SABC1, 2 na 3 ila zipo scrambed, naweza kuzifungua kwa njia gani? biss keys au... natumia azskyg6.
asante
biss key zake ni 260582ad05028188jamani naomba kama kuna mtu yeyote ambae ana zijua biss key za feeds(hustler hd, bein sport1, bein sport2, equidia live tv, m6hd) kwenye eutelsat@7e. Naomba saada tafadhali.