Naomba msaada kuhusu Data recovery software

Naomba msaada kuhusu Data recovery software

UkoowaMagorombe

Senior Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
191
Reaction score
45
Nahitaji kurecovery data zangu kutoka kwenye sd card, nimejaribu kudownload data recovery software kama mbili tofauti zote zinafanya kazi vizuri na kuleta file zote ila ninapotaka kurecovery data hizi software zinaomba key code ambayo ni lazima kuinunua.

Ninachohitaji hapa ni sofware ninayoweza kuipata free pamoja na key zake ama ambayo haina key kabisa.

Naombeni link...
 
Nahitaji kurecovery data zangu kutoka kwenye sd card, nimejaribu kudownload data recovery software kama mbili tofauti zote zinafanya kazi vizuri na kuleta file zote ila ninapotaka kurecovery data hizi software zinaomba key code:alien: ambayo ni lazima kuinunua.

Ninachohitaji hapa ni sofware ninayoweza kuipata free pamoja na key zake ama ambayo haina key kabisa.

Naombeni link...
  • Je ni software zipi hizo, sema jina la sftware ili upewe key zake
  • Ni aina ipi ya data unahitaji ku recover? Je ni picha pekee au na faili zingine.
 
  • Je ni software zipi hizo, sema jina la sftware ili upewe key zake
  • Ni aina ipi ya data unahitaji ku recover? Je ni picha pekee au na faili zingine.
Nimejaribu kutumia hizi;

  • EaseUS Data Recovery
  • iSkysoft Data Recovery
  • Doctory Data Recovery

Data ninazohitaji ku-recovery hizi hapa;
  • Mp3
  • Videos
  • Images

Natanguliza shukrani.
 
Back
Top Bottom