Jamani bila shaka mmeamka salama,na wale ambao wameamka wanasumbuliwa na magonjwa mbali mbali nawaombea kwa mungu awaponye haraka.ndugu zangu naombeni msaada wa dawa ya kuacha pombe maana nahis kaka yangu soon atakuwa kichaa,au atafukuzwa kazi au kupoteza maisha.