naomba mtu wa kunisaidia kulipa ada ya chuo kwasababu ya mama angu kushindwa kunilipia,nina mzazi mmoja tu ambae ni mama angu istoshe nina wadogo zangu ambao wanasoma sekondari katika shule ambazo si za serikali nao wanahitaji ada na sote tunamtegemea mama, na chuo ninacho soma nadaiwa ada ya mwaka wa pili wamasomo. Tafadhali kwa yeyote anaeweza kunisaidia mchango wowote ule hata wa mawazo nifenye nini kusuruhisha hili tatizo au niende wapi ambapo ntapata msaada.namaanisha kuwa nataka maada jamani