souljah meditater
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 2,146
- 2,094
Nadhani umemjibu vyemaAmeshiba sana=Hajashiba sana
Ha-ukanusho nafsi ya tatu umoja
Ja-dhima ya wakati/njeo timilifu
Shib-mzizi wa kitenzi
A-kiambishi tamati maana
sana-kielezi
Nadhani umemjibu vyemaAmeshiba sana=Hajashiba sana
Ha-ukanusho nafsi ya tatu umoja
Ja-dhima ya wakati/njeo timilifu
Shib-mzizi wa kitenzi
A-kiambishi tamati maana
sana-kielezi
MMHH!! HILI SOMO SILIPENDI
YAAN HAPA NAHISI KICHEFUCHEFU
Hajashiba ni sahihi lkn JA ina dhima ya wakati uliopo hali timilifuHajashiba sana" ndio sahihi ingekuwa ni alishiba sana ndo ingekuwa "hakushiba sana"....
Hahahaha! Hujajibu swali!MMHH!! HILI SOMO SILIPENDI
YAAN HAPA NAHISI KICHEFUCHEFU
Jibu la mwanasarufi aliyekomaa.Mkuu kinachofanyika hapa ni kitu cha kitaaluma , yaani sarufi maana ( semantikia) kama hujui afadhali upite tu!
katika neno "hajashiba " mofu ( kwa mujibu wa Chomsky et el ) "-ja-" inafanya kazi gani?
ha- hiki no kiambishi awali kinachoonesha nafsi ya tatu umoja, lakini pia huonesha ukaunushi wa tendon yaani kushiba.
-ja- ni wazi kwamba lugha ya kiswahili ina njeo ambazo zinafahamika kama vile -li-, -na-,-me- na -ta- lakini pia tukumbuke pia lugha ina sifa ya kughairi sifa na taratibu ya lugha yenyewe.
Hivyo basi, mofu - ja- inaingia katika njeo ya wakati uliopo hali timirifu..
lakini pia ni kighairi cha lugha.
Hii ni kwasababu nikitaka kuonesha wakati uliopita nitasema "hakushiba"
kana utakubali kuwa "Ku" ni njeo basis hata "ja" itakuwa njeo kwa sababu zina uwezo wa kubadilushana nafasi.
Akhsante.
Katapike mkuu...MMHH!! HILI SOMO SILIPENDI
YAAN HAPA NAHISI KICHEFUCHEFU
Naomba msaada jaman kuna watu tunabishana nao hapa wengine wanadai ''hakushiba sana''kwa madai Kwamba sarufi ya kiswahili haina dhima ya ''Ja''
Na wengine wanadai 'hajashiba sana' lakini wanashidwa kutoa dhima ya 'ja' na 'ku' inaonesha wakati uliopita Kwa wanaounga hajashiba sna
Naomba msaada jaman kuna watu tunabishana nao hapa wengine wanadai ''hakushiba sana''kwa madai Kwamba sarufi ya kiswahili haina dhima ya ''Ja''
Na wengine wanadai 'hajashiba sana' lakini wanashidwa kutoa dhima ya 'ja' na 'ku' inaonesha wakati uliopita Kwa wanaounga hajashiba sna[/QUOTE