Wakuu,
Wale wenye principal pass moja na wakasoma certificate mwaka mmoja na wameomba kujiunga degree kupitia TCU. Je, vikwazo gani mmepata wakati mkiapply? Nataka nami nilipie but ningependa kufahamu taratibu, ni special kwa wale walioapply na wale wenye uelewa na hili.
Wale wenye principal pass moja na wakasoma certificate mwaka mmoja na wameomba kujiunga degree kupitia TCU. Je, vikwazo gani mmepata wakati mkiapply? Nataka nami nilipie but ningependa kufahamu taratibu, ni special kwa wale walioapply na wale wenye uelewa na hili.