Naomba msaada jinsi ya Ku block simu iliyoibiwa

Naomba msaada jinsi ya Ku block simu iliyoibiwa

matevez

Member
Joined
Apr 15, 2014
Posts
67
Reaction score
19
Chif mkwawa, na wengine juzi nilipigwa kimeo changu cha nokia xl, so nilikuwa anti theft lakin ya kaspersky ambayo kiukweli haijanipa msaada wowote kama kuna mwenye uzi basi aulete namna ya kuiblock
 
kaka wewe ndio ulioset mwenyewe, ulifanya fanya vp? sijawah tumia ant theft yao hao jamaa
 
Chif niliset kama ushatumia ya avast basi hazina tofauti katika usetiji ni hivyo hivyo bal nashangaa haijanipa majibu yoyote
 
haijakupa majibu kivipi? umecheki email au namba ulioeka kama kipokea taarifa
 
Zote si email wala sms ilyoingia kunipa taarifa baada ya kurenew line tofauti na avast wanavyofanyaga so nashinda sasa msaada upi mwingine naweza pata
 
Zote si email wala sms ilyoingia kunipa taarifa baada ya kurenew line tofauti na avast wanavyofanyaga so nashinda sasa msaada upi mwingine naweza pata
kama kaiwah kuiformat ndio bas hio ila kama kaizima tu then atakuja kueka line utamjua
 
Na misteki niliyofanya ni kuwa katika seting sikuweka passwood mapema kaka, kwan ukirest sim ina maana had IME huwa inabadirika kaka?
 
so kuna njia yeyote ya kutrack kwa kutumia imei peke yake?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom