Mawenzi
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 1,251
- 345
Dear Great thinkers!! Budget mama (ya Mkulo) imepitishwa. Ndani yake kuna hii ya Ngeleja iliyokataliwa.
Ngeleja atatengeneza nyingine ambayo itawakilishwa bungeni, na hii mpya lazima itakuwa tofauti sana na ilyokataliwa (ambayo imo ndani ya ile ya Mkulo). sasa hapa itakuwaje: bajeti mpya ya Ngeleja itaingiaje ndani ya ile ya Mkulo?? Ikiingizwa ndani ya ile ya Mkulo na kuifanya iwe mpya, je ya Mkulo itabidi ipitishwe upya?? Au itakuwaje?? Nielimisheni tafadhali.
Ahsante sana
Ngeleja atatengeneza nyingine ambayo itawakilishwa bungeni, na hii mpya lazima itakuwa tofauti sana na ilyokataliwa (ambayo imo ndani ya ile ya Mkulo). sasa hapa itakuwaje: bajeti mpya ya Ngeleja itaingiaje ndani ya ile ya Mkulo?? Ikiingizwa ndani ya ile ya Mkulo na kuifanya iwe mpya, je ya Mkulo itabidi ipitishwe upya?? Au itakuwaje?? Nielimisheni tafadhali.
Ahsante sana