Naomba msaada: Bajeti ya Mkulo itajadiliwa tena?

Mawenzi

JF-Expert Member
Sep 21, 2010
1,251
345
Dear Great thinkers!! Budget mama (ya Mkulo) imepitishwa. Ndani yake kuna hii ya Ngeleja iliyokataliwa.

Ngeleja atatengeneza nyingine ambayo itawakilishwa bungeni, na hii mpya lazima itakuwa tofauti sana na ilyokataliwa (ambayo imo ndani ya ile ya Mkulo). sasa hapa itakuwaje: bajeti mpya ya Ngeleja itaingiaje ndani ya ile ya Mkulo?? Ikiingizwa ndani ya ile ya Mkulo na kuifanya iwe mpya, je ya Mkulo itabidi ipitishwe upya?? Au itakuwaje?? Nielimisheni tafadhali.

Ahsante sana
 
Dear Great thinkers!! Budget mama (ya Mkulo) imepitishwa. Ndani yake kuna hii ya Ngeleja iliyokataliwa. Ngeleja atatengeneza nyingine ambayo itawakilishwa bungeni, na hii mpya lazima itakuwa tofauti sana na ilyokataliwa (ambayo imo ndani ya ile ya Mkulo). sasa hapa itakuwaje: bajeti mpya ya Ngeleja itaingiaje ndani ya ile ya Mkulo?? Ikiingizwa ndani ya ile ya Mkulo na kuifanya iwe mpya, je ya Mkulo itabidi ipitishwe upya?? Au itakuwaje?? Nielimisheni tafadhali.



Ahsante sana

Hapa ndipo nawashangaa wabunge wa chama tawala wakati wenzao wa upinzani wakikataa kuwa bajeti haijakabiliana na tatizo la umeme wao walipiga meza na kupayuka Ndiyoooooooooooooooooo. Wenzao wa upinzani walipohoji kodi za mafuta zipunguzwe ili kupunguza mfumuko wa bei wao waliipongeza kwamba hii ni bajeti nzuri sana inayowajali wananchi.

Leo hii mfumuko wa bei umeendelea kupanda;
Mafuta ya taa ni kilio kila mahali;
Tatizo la umeme halieleweki, labda kila mwananchi atafute ufumbuzi wake.

Nilivyomwelewa Waziri Mkuu ni kuwa mafungu ya "Other charges" kwenye wizara zote yatapunguzwa ili kupata fedha ya kutatua tatizo la umeme. Kwa maana nyingine mapato na matumizi hayatabadilika ili mgao hasa wa Other charges utabadilika kwa wizara zote.
 
aisee kweli hili swali pia na mimi nimevutiwa nalo kwa wenye ufahamu watujuze, very critical!!
 
Mkulo hasomi bajeti nyingine kinachofanyika ni kuhamisha mafungu ya pesa kutoka kwenye bajeti ileile ya Madini na nishati ili mafungu hayo yatumike kwenye umememe. Mfano pesa zilizotengwa kwa ajili ya Poasho,Usafiri,Magali,Utafiti, Masurufu,Mafuta zote hizo zitahamishiwa kwenye umeme. Kwa kawaida Serikali huwa haifuti kodi hata kidogo inachokifanya ni kuihamisha kodi.Mfano wakipunguza kwenye Sigara ujue wameongeza kwenye Mafuta.
 
Waziri Mkullo mwishoni kabisa ataleta marekebisho baada ya bajeti ya wizara zote kupita. Bajeti ya wizara ya maji nayo tunatarajia itakwama tu. Na Mwandosya mwenyewe bado yuko India.
 
Kama vifungu vitakuwa reallocated ni kwa ajili ya kununua mitambo ya dharura au kukodi?
 
Fanya hesabu rahisi; Kama ilikwisha pitishwa na inatokana na kupitishwa kwa bajeti za wizara zote, je bajeti za wiraza zote zikipitishwa na marekebisho yake ina maanisha nini?

I mean kama ulikubali kumempereka mwanao shule alipofika mwaka wa pili karo ikapanda kulinganisha na pale na ulipofanya maamuzi ya kumsomesha unafanya nini? unamwondoa shule au unaendelea kumsomesha hadi amalize masomo yake? Bajet kuu ni indications kama ingelikuwa sivyo kusingi kuwepo na bajeti za kila wizara, hivyo kupishwa kwake ndio kusema walipitisha development indicators and policies na wanapokuja kujadili bajeti za wizara wabunge wanaenda mbali zaidi kuangalia uhalisia na matarajio ya bajeti mama, what are strategies behind the indicators, wizara ina mipango gani, mbinu gani, mikakati gani etc etc, naona wewe unawaza fedha tu? bajeti siyo fedha peke yake fedha ni kiashiria tu? siyo halisi hata kidogo.
 
Mkulo hasomi bajeti nyingine kinachofanyika ni kuhamisha mafungu ya pesa kutoka kwenye bajeti ileile ya Madini na nishati ili mafungu hayo yatumike kwenye umememe. Mfano pesa zilizotengwa kwa ajili ya Poasho,Usafiri,Magali,Utafiti, Masurufu,Mafuta zote hizo zitahamishiwa kwenye umeme. Kwa kawaida Serikali huwa haifuti kodi hata kidogo inachokifanya ni kuihamisha kodi.Mfano wakipunguza kwenye Sigara ujue wameongeza kwenye Mafuta.
Hivi ule Muswada wa Fedha (The Finance Bill) ulishapitishwa au utapitishwa baada ya Mkulo kufanya marekebisho ya Bajeti yake?
 
Waziri Mkullo mwishoni kabisa ataleta marekebisho baada ya bajeti ya wizara zote kupita. Bajeti ya wizara ya maji nayo tunatarajia itakwama tu. Na Mwandosya mwenyewe bado yuko India.

Mwandosya yupo India! Mbona walikuwa watowa taarifa humu kuwa ndie aliyekuwa ananunuwa madiwani wa CDM Mbeya last two days?
 
Hivi ule Muswada wa Fedha (The Finance Bill) ulishapitishwa au utapitishwa baada ya Mkulo kufanya marekebisho ya Bajeti yake?
Ule ulishapita. Pengine JK kwa sababu ya kuzurula kwake hajapata muda akausaini. Ndege ya Mkapa inamzingua ile mbaya.
 

Mwandosya yupo India! Mbona walikuwa watowa taarifa humu kuwa ndie aliyekuwa ananunuwa madiwani wa CDM Mbeya last two days?
Yuko India. Mgonjwa. Tatizo la maji Dar litampa taabu kwelikweli. Mh Mnyika hatamwachia kirahisi.
 
Dear Great thinkers!! Budget mama (ya Mkulo) imepitishwa. Ndani yake kuna hii ya Ngeleja iliyokataliwa.

Ngeleja atatengeneza nyingine ambayo itawakilishwa bungeni, na hii mpya lazima itakuwa tofauti sana na ilyokataliwa (ambayo imo ndani ya ile ya Mkulo). sasa hapa itakuwaje: bajeti mpya ya Ngeleja itaingiaje ndani ya ile ya Mkulo?? Ikiingizwa ndani ya ile ya Mkulo na kuifanya iwe mpya, je ya Mkulo itabidi ipitishwe upya?? Au itakuwaje?? Nielimisheni tafadhali.

Ahsante sana
Kama alivyosema Mnyika jana nje ya ukumbi wa Bunge. Inabidi CDM wakomae irudishwe ili ijadiliwe upya, pia ile ya Mpango wa miaka mitano nayenyewe itakuwa imevurugika. Kazi kwelikweli.
 
Mi ninavyojua bajeti mama ya Mkulo ikipingwa isipitishwe, Rais anavunja baraza la Mawaziri, sasa kwa hili sijui atampa lidanda Ngeleja au sijui itakuwaje...ngoja kwansa!!
 
Fanya hesabu rahisi; Kama ilikwisha pitishwa na inatokana na kupitishwa kwa bajeti za wizara zote, je bajeti za wiraza zote zikipitishwa na marekebisho yake ina maanisha nini?

I mean kama ulikubali kumempereka mwanao shule alipofika mwaka wa pili karo ikapanda kulinganisha na pale na ulipofanya maamuzi ya kumsomesha unafanya nini? unamwondoa shule au unaendelea kumsomesha hadi amalize masomo yake? Bajet kuu ni indications kama ingelikuwa sivyo kusingi kuwepo na bajeti za kila wizara, hivyo kupishwa kwake ndio kusema walipitisha development indicators and policies na wanapokuja kujadili bajeti za wizara wabunge wanaenda mbali zaidi kuangalia uhalisia na matarajio ya bajeti mama, what are strategies behind the indicators, wizara ina mipango gani, mbinu gani, mikakati gani etc etc, naona wewe unawaza fedha tu? bajeti siyo fedha peke yake fedha ni kiashiria tu? siyo halisi hata kidogo.

Ndugu think b4 inked...marekebisho machache ya wizara mbalimbali yanafanyika na yanaingizwa kwenye bajeti mama, na ndio maana baada ya bajeti husika kusomwa, inajadiliwa for some days then inapitishwa. Sasa hii ya Ngeleja ni tofauti, Bunge haijaipitisha kabisa..Imepingwa!! thtz the point
 
Back
Top Bottom