Naomba msaada - ACTS of parliament

Mr Eko

Member
Aug 29, 2008
21
0
Habari za leo wanajamii,

Nimeombwa kutafuta marekebisho ya sheria ya kazi "Employment and Labour Relations Act, 2004". Kuitambua document husika inanipa taabu.


Kwenye website ya Bunge sijaona marekebisho (amendments) ya hivi karibuni. Ila zipo documents za miaka ya nyuma zenye maelezo kama "An Act to amend certain Labour Laws" mwaka 1975, 1982, n.k.
Document ninayoitafuta ndiyo yafanana hivyo, au sio?


Ukiacha hiyo hapo juu ambayo kichwa chake utakuta kimeandikwa "The Labour Laws (Miscellaneous Amendments) Act, 1982" ...hii hapa chini ni kitu gani tena?
"Employment and Labour Relations (Code of Good Practice) Rules, 2007" Hii imo kwenye website ya ILO.
http://www.ilo.org/dyn/natlex/natlex_browse.details?p_lang=en&p_isn=76278


Nchi yetu iko nyuma sana kwenye matumizi ya mtandao na mawasiliano ya electronic; inasikitisha ile mbaya!


Naomba msaada wenu namna ya kupata online copy ya hiyo sheria ya kazi kama inapatikana. Waweza kunipa link, na kama unayo kwenye PC yako tafadhali naomba unitumie kwa email.
Wanafunzi wa Open University kwa mfano, huwa wanapata wapi hizi sheria zaidi ya pale "duka la vitabu la serikali"?
Niko tayari kununua kama kuna mtu anazo kwenye CD.


Asanteni sana.
 
Nchi yetu iko nyuma sana kwenye matumizi ya mtandao na mawasiliano ya electronic; inasikitisha ile mbaya!

Asanteni sana.

Mr Eko,

Naungana na wewe,

Kama utakua umesoma Post yangu kwenye HABARI MCHANGANYIKO, ni kweli Mawizara na Taasisi zetu za Serikali zipo nyuma sana kwenye websites zao. Hivi karibuni nilikua natafuta information kwenye Website ya University of Dar es Salaam, i was annoyed.

Website iko extremely outdated and has very flimsy and useless information...! Licha ya hayo, kuna Wizara na taasisi muhimu za serikali ambazo mpaka leo hii hazina Website, kwa Mfano, Mahakama ya Rufaa, Mahakama Kuu, Law reform Commison of Tanzania, Msajili wa Makampuni just to mention a few...!

Kweli we need to change this, watu walioko huko nje siku hizi wao wanakaa kwenye computer kutafuta information, sasa kama nchi haina information za kutosha ndio hii tunaishia kupoteza opportunity au kupoteza hata mapato (watalii) kwani wanakua wanashindwa kupata taarifa za uhakika kutoka kwenye vyombo vya serikali.

Pia taarifa zetu nyingi zinakua zinatolewa na vyombo au taasisi nyingine kwa Mfano World Bank, hivyo kuchangia kupotosha taarifa au kutoa taarifa ambazo hazina usahihi...!

We have a mamorth task to do on this...!
 
Hii hapa:

[media]www.parliament.go.tz/Polis/PAMS/Docs/6-2004.pdf[/media]

Cuth


Asante Prince,

Ila ninachohitaji ni marekebisho ya hii sheria uliyoweka na kwa maelezo niliyopewa ni kwamba marekebisho yameshafanyika. Nikipata CD ya sheria hizi za karibuni mambo yatakuwa safi sana.



Mimi namsaidia mtu na sio mwanafunzi wa sheria, usishangae kuona siko aware na mambo haya. Mwaka jana nilikusanya material kidogo na sheria kadhaa kwa mwanafunzi wa OUT.
Kwa wale wanaosoma sheria hasa wa OUT naomba tusaidiane. Kwa mfano, tunaweza kutengeneza list ya documents muhimu zinazohitajika halafu tukashirikiana kuzi-scan na kuweka kwenye internet au kwenye CD tukatumiana kwa njia ya posta, ili mradi tu tusifanye jambo ambalo ni kinyume cha sheria. Huko mikoani wanapata tabu sana hata kwa wenye uwezo wa ku-photocopy. Naambiwa lecturer mwenyewe unaweza kuta hana hizi sheria mpya. Kama sio kituko hii ni nini?

Thanks once again.







Website ya ATE (Association of Tanzania Employers) ina information kama inavyosomeka hapa:

ISSUANCE OF VARIOUS CODES OF GOOD PRACTICES, RULES AND FORMS

Dear members,

This is in relation to the long awaited code of good practices and other various guidelines. Finally, the Minister for Labour, Employment and Youth Development on various dates has issued the following documents:-

1. Codes of Good Practices as per section 99(1) (a) of Employment and Labour Relations Act, 6/2004 vide Government Notice no. 42 of 16th February 2007

2. Mediation and Arbitration Rules under section 15(1)(e) of the Labour vide Government Notice No. 64 of 23rd March 2007

3. Various forms intended to be used in administration of some provisions of the Act and adjudication of labour disputes at the Commission for Mediation and Arbitration (CMA) under sections 48,50,52,61,64,67,86 and 98 of the Employment and Labour Relations Act, No. 6 of 2004 vide the Government Notice No. 65 of 23rd March 2007

4. Ethics and Code of Conduct for Mediators and Arbitrators Rules under section 15(1) (g) and 19(4) of the Labour Institutions Act, No. 7 of 2004 vide Government Notice no. 66 of 23rd March 2007

5. Mediation and Arbitration Guidelines Rules under section 15(1)(f) of the Labour Institutions Act No. 7 of 2007 vide Government Notice No, 67 of 2007

Under section 99 of the Employment and Labour Relations Act, various codes of goods practices in relation to the administration of the Act have been issued including:


i.) Code of good practice in relation to termination
ii.) Code of good practice in relation to discrimination
iii.) Code of good practice in relation to strikes and lock- outs
iv.) Code of good practice in relation to collective bargaining.




http://www.ate.or.tz/documents/ate.php
 
tatizo web site ya bunge siku hizi imekuwa na matatizo matatizo. lakini kama unajua proper name ya hiyo amendment, ukienda kwenye website ya Bunge utaipata tu, wale wako makini sana kupost
 
Mpita Njia,
Nataka kuamini kwamba marekebisho ya sheria ninayoyatafuta yapo humo kwenye website ya bunge. Vinginevyo itakuwa ni kitu cha ajabu sana kukosekana kwenye website hii muhimu.


Kwa kuangalia maelezo yangu hapo juu, waliosoma sheria nadhani wataelewa ni nini hasa ninachokitafuta. Wiki inayokuja nitakwenda government bookstore kununua hard copy, hapo nitakuwa nimetatua tatizo kwa muda tu, maana baadae itahitajika sheria nyingine tena. Kwa hali hii, bado ombi langu la kununua CD liko pale pale.

Nashukuru sana
 
Nimefanikiwa.

Unaweza kupata marekebisho ya sheria ukijua yako kwenye Government Notice namba gani na mwaka ilipotolewa.
Mfano no. 8 of 2006 - Mwaka 2007

Hizi amendments humo kwenye website ya bunge utazikuta zina majina kama:
The Written Laws (Miscellaneous Amendments) Act, 2006 - (Act No. 8/06)
An Act to amend certain Written Laws

Asanteni kwa ushirikiano
 
Unaweza kwenda kwenye Utumishi, kwenye maktaba ya utumishi wana kumbukumbu ya sheria zote zinazopitishwa na bunge, na GN zote za miaka yote. Pia unaweza kwenda maktaba ya mahakama ya kuu/rufaa au hata wizara ya sheria kwenyewe.
 
Habari za leo wanajamii,

Nimeombwa kutafuta marekebisho ya sheria ya kazi "Employment and Labour Relations Act, 2004". Kuitambua document husika inanipa taabu.


Kwenye website ya Bunge sijaona marekebisho (amendments) ya hivi karibuni. Ila zipo documents za miaka ya nyuma zenye maelezo kama "An Act to amend certain Labour Laws" mwaka 1975, 1982, n.k.
Document ninayoitafuta ndiyo yafanana hivyo, au sio?


Ukiacha hiyo hapo juu ambayo kichwa chake utakuta kimeandikwa "The Labour Laws (Miscellaneous Amendments) Act, 1982" ...hii hapa chini ni kitu gani tena?
"Employment and Labour Relations (Code of Good Practice) Rules, 2007" Hii imo kwenye website ya ILO.
NATLEX - Advanced search results


Nchi yetu iko nyuma sana kwenye matumizi ya mtandao na mawasiliano ya electronic; inasikitisha ile mbaya!


Naomba msaada wenu namna ya kupata online copy ya hiyo sheria ya kazi kama inapatikana. Waweza kunipa link, na kama unayo kwenye PC yako tafadhali naomba unitumie kwa email.
Wanafunzi wa Open University kwa mfano, huwa wanapata wapi hizi sheria zaidi ya pale "duka la vitabu la serikali"?
Niko tayari kununua kama kuna mtu anazo kwenye CD.


Asanteni sana.

mkuu unalink yoyote amabyo naweza kupata employment an labour relations act ( code od good conduct) Gn. 42 2007
 
Back
Top Bottom