Naomba morar nikanunue ttcl modem!

Naomba morar nikanunue ttcl modem!

G M S

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2011
Posts
502
Reaction score
53
Wakuu kwa maelezo niliyonayo ttcl modem inacharge kwa masaa with unlimited capacity naomba kujuzwa uhalisia wake kwa wazoefu nikanunue hii modem!
 
what is the meaning of 'morar'?
karibu :A S-coffee:

mkuu morar namaanisha hamasa au naweza sema naomba kujuzwa uhalisia na uzuri wa hizi ttcl modem ili kama ni poa niongeze spid ya kwenda kununua na kama sio niahilishe!
 
Nunua kamautaweza kununua bandle zake out of that gharama zake ni noma. Me ninayo cz nimeipaki.
 
Nunua kamautaweza kununua bandle zake out of that gharama zake ni noma. Me ninayo cz nimeipaki.

mkuu vp kuhusu maswala ya speed coz nimeambiwa kuna system ya kulipia buku kwa saa bila kikwazo cha matumizi naona iko poa!
 
Kwa speed ni kweli inakua nzuri na kuna unlimited downloading. Kama unafanya downloading, ni bora uwe na modem 2, ya airtel kwa ajili ya blogging, news etc; halafu ya ttcl kwa ajili ya kudownload ama uploading kubwa. Ila hiyo charging system kama ya int cafe ndo inakera.
Note: uliposema moror ulimaanisha 'morali'
mkuu vp kuhusu maswala ya speed coz nimeambiwa kuna system ya kulipia buku kwa saa bila kikwazo cha matumizi naona iko poa!
 
ni choice yako tu. unaweza ukajiunga na 'banjuka' inayochaji elfu kwa saa au ukachagua bundles za wiki na mwezi.
speed ni nzuri na haikatiki-katiki ovyo, ila coverage yake ni limited kwa mijini.
still ni bora mara mia kuliko zantel maana kuna baadhi ya vijiji ambako utapata network.
Airtel ni the best kwa gharama ila iko slow.
Voda haiaminiki sana ingawa kuna wakati huwa nzuri.
Tigo inafanya vizuri jijini Dar-es-salaam.
tuombe tupate mwekezaji mwingine bora wa broadband
 
Hakuna Modem hapo wana covarage mbovu hapa dar! Utapoteza pesa yako tu.
 
Back
Top Bottom