L'AMOUR
Senior Member
- Mar 8, 2011
- 110
- 24
Ni vyema ukaweza kuwaambia watu hata kitu ulichosomea maana kusoma sua peke yake hakutoshi pale kuna kozi nyingi sana VET,HOMEC,FST,AGRIC,AGRIBUNINESS,ANIMAL SC. etc sasa wewe weka wazi tu hapa unaweza kukuta kuna mwajiri anataka watu wa aina yako ila kwa kuwa hujafafanua sana basi inakuwa ngumu sana kuweza kujua ni kitu gani unataka./
Thanks
Thanks