Naomba mnisaidie kuhusu hili

Naomba mnisaidie kuhusu hili

Curious gal

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2014
Posts
3,200
Reaction score
4,010
Mamboz!
Naomba mchango wenu katika hili.......hivi kuna uwezekano wa mwanaume kutoshiriki tendo la ndoa na girlfriend wake mpaka pale atakapokuja kumuoa ndo wataanza rasmi kushiriki hilo tendo? Na je,ni kweli kitu kama hiki kinawezekana katika jamii yetu au kipo katika jamii yetu?
Naomba kuwasilisha
 
huo mtihani ni mgumu sana.....ukija oa jike dume je?? lazima mkaguane.........japo ni jambo jema kusubiri.......wengine wakiwa wawili wanapeana moyo.....but wakitawanyika kila mmoja anaende kujikuna kivyake....
 
huo mtihani ni mgumu sana.....ukija oa jike dume je?? lazima mkaguane.........japo ni jambo jema kusubiri.......wengine wakiwa wawili wanapeana moyo.....but wakitawanyika kila mmoja anaende kujikuna kivyake....
Mbona kuna mtu aliniambia kuna rafiki yake anaolewa na mtu ambae hawajawahi hata siku moja kufanya nae hilo tendo? Au inawezekana amemficha ukweli
 
Inawezekana. Sema na moyo wako.

sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
 
Back
Top Bottom