Curious gal
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 3,200
- 4,010
Mamboz!
Naomba mchango wenu katika hili.......hivi kuna uwezekano wa mwanaume kutoshiriki tendo la ndoa na girlfriend wake mpaka pale atakapokuja kumuoa ndo wataanza rasmi kushiriki hilo tendo? Na je,ni kweli kitu kama hiki kinawezekana katika jamii yetu au kipo katika jamii yetu?
Naomba kuwasilisha
Naomba mchango wenu katika hili.......hivi kuna uwezekano wa mwanaume kutoshiriki tendo la ndoa na girlfriend wake mpaka pale atakapokuja kumuoa ndo wataanza rasmi kushiriki hilo tendo? Na je,ni kweli kitu kama hiki kinawezekana katika jamii yetu au kipo katika jamii yetu?
Naomba kuwasilisha