apo chem na bios ana point tano.. labda kampala tuSasa huyu ana B,C na D anakua na points ngapi?
Dogo ana cut off points above almost kila medical school hapa bongo
Kitu cha kuhofia kwa sasa ni ushindani tu
Zinahitajika ngapi ili aqualify Muhimbili..apo chem na bios ana point tano.. labda kampala tu
nane yani B ya chem na B ya biosZinahitajika ngapi ili aqualify Muhimbili..
nane yani B ya chem na B ya bios
wewe ndio hujui... basi endelea kujikaanga kwa guidebook.. kama huna B ya bios na B ya chem utaendelea kuisikia muimbilii kwenye redio na magazetiiMsiwe mnaongea vitu ambavyo hamvijui,masomo matatu yote yanahesabiwa
Nenda kaangalie guide book ya TCU
wewe ndio hujui... basi endelea kujikaanga kwa guidebook.. kama huna B ya bios na B ya chem utaendelea kuisikia muimbilii kwenye redio na magazetii
wewe ndio hujui... basi endelea kujikaanga kwa guidebook.. kama huna B ya bios na B ya chem utaendelea kuisikia muimbilii kwenye redio na magazetii
Guide book ya mwaka jana (2016/2017) inasema lazima uwe na minimun cut off point ya 8 kwenye masomo yako mawili ili uweze kuwa admitted muhimbili (MD)..............kwahyo kwa matoke hayo hutaweza kuchaguliwa MD...labda koz nyingne au uchague ka kcmc ila co muhimbili
Nimeattach shot ya TCU guide book 16/17 kwa MUHAS
Nioneshe wapi wamesema masomo mawili
Angalia hapo kwenye MINIMUM INSTITUTINAL ADMISSION POINTS.. utaona mkuu....
Hahaha atakuwa alisoma pureMbn BAm hujaweka matokeo yake?????
Kwa muhimbili anatakiwa kuwa na cut off point 8+Sasa huyu ana B,C na D anakua na points ngapi?
Dogo ana cut off points above almost kila medical school hapa bongo
Kitu cha kuhofia kwa sasa ni ushindani tu
Wewe unataka MD/BVM?Sasa uko SUA naweza kupata?
jamaa alikua mbishi bora umemuelewesha bado narudia tena muache ajikaange tu na guidebook ya kikwete.... badala y kutafta guidebook ya magu... ha a aaaaGuide book ya mwaka jana (2016/2017) inasema lazima uwe na minimun cut off point ya 8 kwenye masomo yako mawili ili uweze kuwa admitted muhimbili (MD)..............kwahyo kwa matoke hayo hutaweza kuchaguliwa MD...labda koz nyingne au uchague ka kcmc ila co muhimbili
bora umemuelewewsha jama alikua mbishi sana bado narudia tena muache ajikaange tu na guidebook ya kikwete.badala ya... ku tafta guidebook ya magu... ha a aaaa
Kwa sasa maombi yote yatumwe chuo husikaKwanza nakukaribisha Jukwaani, Karibu the Home of GT.
Pili, hongera kwa matokeo yako. Lakini kwa matokeo hayo, japokuwa umefanya vizuri Kupata nafasi ya kusoma MD katika Chuo cha Afya Muhimbili, inakuwa ngumu kidogo. Kuna competition kubwa sana. Biology imekuangusha kidogo lakini jaribu waweza kufanikiwa.
UDSM, medicine ilikuwepo. Lakini Mh Rais alitoa Ushauri ifutwe na kwa mantiki hiyo sidhani kama Mwaka huu watadahili. Hivyo hakuna. SUA haijawahi kuwa na MD. Labda Udaktari wa Mifugo lakini si wa binadamu. Kwa hiyo SUA pia hakuna.
Pindi wwatakapoanza kupokea Maombi ya Udahili kupitia chuoni moja kwa moja, nakushauri fika mapema au fanya utaratibu wote utakaotolewa na Chuo husika uweze kuangaliana uwezekano wa Kudahiliwa.
Turudi kwa Mdogo wako;
Kozi za afya ikiwa ni pamoja na Unesi, Clinical Officers, Labaratory technicians pamoja na nyinginezo huombewa katika tovuti ya NACTE, www.nacte.go.tz
Hivyo mdogo wako, atapaswa kufuata taratibu zote na aombe chuo husika na kama atakuwa na matokeo ya kuridhisha atapangiwa Chuo cha Muhimbili katika kozi yake.
Nakutakia kila la kheri.
Naam, isipokuwa kozi za Ualimu na afya.Kwa sasa maombi yote yatumwe chuo husika