Navy seal soldier
Senior Member
- Oct 6, 2019
- 148
- 272
Habarini wakubwa,
Nimekuja kwenu nikiamini kwamba JamiiForums ni sehemu inayokutanisha watu wengi tofauti tofauti, waliojikita katika nyanja na sekta tofauti, hivo nimeona ni sehemu sahihi ya kutanua network yangu na kupata msaada juu ya hili swala.
Mimi Ni kijana fresh graduate ninayeishi katika mkoa wa arusha. nimehitimu shahada ya uhasibu kutoka katika moja ya taasisi za elimu ya juu hapa nchini.
Nimekuja kwenu kuomba msaada wa connection ya kupata kazi au internships katika field ya uhasibu, fedha, ukaguzi, masoko n.k
Vile vile nna skills za kufundisha masomo ya biashara (bookkeeping, commerce, and accountancy) kwa O-level na advanced level, hivo kazi ya ualimu wa masomo ya biashara naiweza na naimudu vizuri.
Kipindi Fulani niliwahi kufanya field katika kituo kikubwa cha forodha hapa nchini ( customs), hivyo nina uelewe mpana kidogo juu ya maswala ya forodha pamoja na clearing and forwarding, nina uzoefu kidogo juu ya maswala ya clearing and forwarding, naweza kufanya kazi katika hi sekta pia.
All in all kutokana na uhalisia wa maisha ya Sasa kuliko kukaa bure naweza kufanya kazi yoyote bila kuchagua muhimu tu iwe kazi ya halali ( legal in eyes of law )
Binafsi naamini uaminifu ndio mtaji mkubwa katika Kila kitu
Makazi na makao yangu ni jijini Arusha
Kwa mawasiliano zaidi napatikana kwa 0657288997 au 0734017643
" When we all help one another every body wins "
Nimekuja kwenu nikiamini kwamba JamiiForums ni sehemu inayokutanisha watu wengi tofauti tofauti, waliojikita katika nyanja na sekta tofauti, hivo nimeona ni sehemu sahihi ya kutanua network yangu na kupata msaada juu ya hili swala.
Mimi Ni kijana fresh graduate ninayeishi katika mkoa wa arusha. nimehitimu shahada ya uhasibu kutoka katika moja ya taasisi za elimu ya juu hapa nchini.
Nimekuja kwenu kuomba msaada wa connection ya kupata kazi au internships katika field ya uhasibu, fedha, ukaguzi, masoko n.k
Vile vile nna skills za kufundisha masomo ya biashara (bookkeeping, commerce, and accountancy) kwa O-level na advanced level, hivo kazi ya ualimu wa masomo ya biashara naiweza na naimudu vizuri.
Kipindi Fulani niliwahi kufanya field katika kituo kikubwa cha forodha hapa nchini ( customs), hivyo nina uelewe mpana kidogo juu ya maswala ya forodha pamoja na clearing and forwarding, nina uzoefu kidogo juu ya maswala ya clearing and forwarding, naweza kufanya kazi katika hi sekta pia.
All in all kutokana na uhalisia wa maisha ya Sasa kuliko kukaa bure naweza kufanya kazi yoyote bila kuchagua muhimu tu iwe kazi ya halali ( legal in eyes of law )
Binafsi naamini uaminifu ndio mtaji mkubwa katika Kila kitu
Makazi na makao yangu ni jijini Arusha
Kwa mawasiliano zaidi napatikana kwa 0657288997 au 0734017643
" When we all help one another every body wins "