Hivi kumbe dunia kuna wanaume wa hivi mpaka karne hii,km ni upendo kweli wako utakua wa agape kweli!cjui mambo ya ndoa kiivo subiri wenye uzoefu waje.
jamaa ananikumbusha wimbo wa mwanaume ***** yan kweli unajidai umelala mwenzio anaenda kuongea na sim sebuleni kwel tafuta wazee wakufunde na wakupe mafunzo ya ndoa