mbogoshi ya boganga
Member
- Jan 24, 2012
- 32
- 21
wapendwa wana jamii naomba msaada wenu
mi nilioa tangu mwaka 2007,nina watoto wawili na mke wangu, wakati na funga naye ndoa aliniambia yule x-boyfriend wake aliekuwa naye alikwenda UK kusoma na hana mawasiliano naye tena na ameamua aanze maisha na mimi upya.
siku mmoja ilikuwa tarhe 24 december 2007 mnamo saa sita usiku simu ya mke wangu iliita na akawa anaongea kwa wasi wasi sana lakini mi nikajifanya nimelala usingizi fofo,akanyanyuka nakwenda sebuleni kuongea na simu,mi sikutaka kujua walienda kuongea nini.
tarehe 31/12/2007 ilipofika mnamo saa nane usiku ilipigwa simu tena akaondoka akaenda kuongelea sebuleni pia,mi sikutaka kujua ni kitu gani waliongea.
mwaka 2008 mke wangu akiwa na ujauzito wa miezi saba aliletewa zawadi kwa EMS nilipoisoma adress ilikuwa ikitokea UK na zawadi hiyo zilikuwa ni nguo za ndani na perfume mbili koja ya kike na nyingine ya kiume,nilipomuuliza akaniambia kuna rafiki yake wa kike anasoma huko kamtumia zawadi.
miezi sitta baada ya kujifungua aliniambia amepata short courses kwenda UK kusoma hivyo ataniachia mtoto then atarudi baada ya wiki tatu,nikamuomba details za chuo na admission zote nilipewa na zilikuwa genuine.
baada ya wiki moja kuna simu ilinipigia ya mkaka akaniambia samahani broo mi hunijui na wala mi sikujui ila nimepata uchungu sana baada ya kuona mke wako anachokifanya huku UK, akaniambia jpe email adress yako ntakutumia picha leo.
kweli zilipotumwa zile picha sikuamini macho yangu kabisa na zilikuwa mbay na za utupu pia.
aliporudi mke wangu nikamsomea mashitaka akakiri kweli na akaomba msamaha kwa kweli nilimuomba Mungu anisaidie katika uamuzi na nnikamsamehe.
alichokifanya mwaka jana december mpaka sasa nashindwa nifanyaje,aliniambia tena kapata course UK, alikwenda december na amerudi january15,lakini ana ngeo usoni na kovu kubwa kifuani na lama za kuumwa na meno mkononi.nimejaribu kumbana kwa kila njia haniambiii chochote.
wapendwa naomba ushauri wenu
mi nilioa tangu mwaka 2007,nina watoto wawili na mke wangu, wakati na funga naye ndoa aliniambia yule x-boyfriend wake aliekuwa naye alikwenda UK kusoma na hana mawasiliano naye tena na ameamua aanze maisha na mimi upya.
siku mmoja ilikuwa tarhe 24 december 2007 mnamo saa sita usiku simu ya mke wangu iliita na akawa anaongea kwa wasi wasi sana lakini mi nikajifanya nimelala usingizi fofo,akanyanyuka nakwenda sebuleni kuongea na simu,mi sikutaka kujua walienda kuongea nini.
tarehe 31/12/2007 ilipofika mnamo saa nane usiku ilipigwa simu tena akaondoka akaenda kuongelea sebuleni pia,mi sikutaka kujua ni kitu gani waliongea.
mwaka 2008 mke wangu akiwa na ujauzito wa miezi saba aliletewa zawadi kwa EMS nilipoisoma adress ilikuwa ikitokea UK na zawadi hiyo zilikuwa ni nguo za ndani na perfume mbili koja ya kike na nyingine ya kiume,nilipomuuliza akaniambia kuna rafiki yake wa kike anasoma huko kamtumia zawadi.
miezi sitta baada ya kujifungua aliniambia amepata short courses kwenda UK kusoma hivyo ataniachia mtoto then atarudi baada ya wiki tatu,nikamuomba details za chuo na admission zote nilipewa na zilikuwa genuine.
baada ya wiki moja kuna simu ilinipigia ya mkaka akaniambia samahani broo mi hunijui na wala mi sikujui ila nimepata uchungu sana baada ya kuona mke wako anachokifanya huku UK, akaniambia jpe email adress yako ntakutumia picha leo.
kweli zilipotumwa zile picha sikuamini macho yangu kabisa na zilikuwa mbay na za utupu pia.
aliporudi mke wangu nikamsomea mashitaka akakiri kweli na akaomba msamaha kwa kweli nilimuomba Mungu anisaidie katika uamuzi na nnikamsamehe.
alichokifanya mwaka jana december mpaka sasa nashindwa nifanyaje,aliniambia tena kapata course UK, alikwenda december na amerudi january15,lakini ana ngeo usoni na kovu kubwa kifuani na lama za kuumwa na meno mkononi.nimejaribu kumbana kwa kila njia haniambiii chochote.
wapendwa naomba ushauri wenu