Bwana Chiniko
Member
- Jul 18, 2016
- 20
- 9
Habari zenu wataalamu wa jukwaa hili, matumaini yangu wazi kabisa hamjambo na mnaendelea vizuri.
Nimepatwa na utata kidogo kuhusiana na simu aina ya Tecno C9, hiyo ni baada ya kuchanga viela vyangu na kutaka kununua.
Kikwazo kilianza baada ya kuanza kuulizia sifa zake, wapo walioniambia sio nzuri, zipo slow, isitoshe camera yake sio nzuri ukilinganisha na Tecno c8, wakaniambia ni bora c8 kuliko c9.
Kwenye wengi kuna mengi, naamini wapo wajuvi wa haya mambo au waliowahi kutumia simu hizi, waweze kunipa ushauri kuhusu hili suala maana limekuwa likiniweka njia panda.
Mwisho kabisa budget yangu ni laki 3 na nusu, kama kuna simu nyingine mnayoifahamu ni nzuri zaidi ya hii naweza pata kwa hiyo, iwe mpya pia sio mbaya mnaweza mkanipa mawazo yenu.
Nimepatwa na utata kidogo kuhusiana na simu aina ya Tecno C9, hiyo ni baada ya kuchanga viela vyangu na kutaka kununua.
Kikwazo kilianza baada ya kuanza kuulizia sifa zake, wapo walioniambia sio nzuri, zipo slow, isitoshe camera yake sio nzuri ukilinganisha na Tecno c8, wakaniambia ni bora c8 kuliko c9.
Kwenye wengi kuna mengi, naamini wapo wajuvi wa haya mambo au waliowahi kutumia simu hizi, waweze kunipa ushauri kuhusu hili suala maana limekuwa likiniweka njia panda.
Mwisho kabisa budget yangu ni laki 3 na nusu, kama kuna simu nyingine mnayoifahamu ni nzuri zaidi ya hii naweza pata kwa hiyo, iwe mpya pia sio mbaya mnaweza mkanipa mawazo yenu.