ekomu1
JF-Expert Member
- Apr 15, 2018
- 294
- 329
Mimi kijana mpambanaji nimekuwa kwa muda mrefu nikifanya mishe zangu na biashara ndogo ndogo.
Kama mwenzi moja kuna dada moja ni rafiki yangu sana yule dada kwa bahati mbaya alikutana na wale matapeli wa kutumia madini fake.
Yule dada akiwa anakuja kwenye mishe zake alikutana nao wakafanikiwa kumtapeli pesa laki 8 simu mbili na vitu vidogo vidogo .
Sasa baada ya wiki moja alifanikiwa kuwakamata wale matapeli wakiwa kwenye harakati za kuwatapeli watu wengine ndio akapiga kelele wananchi wakawashika na kuanza kwawapa kipigo .
Kwa bahati nzuri kulikuwa na polisi pembeni wakawazui wananchi kuwapiga wakawakamata wale matapeli na kuondoka nao pamoja na yule dada wakaenda polisi kufika polisi taratibu nyingine zikafatwa .
Kama kufunguliwa mashitaka na kupandishwa mahakamani na kusomewa mashitaka mara ya kwanza wakakataa kosa wakarudishwa mahabusu paka tarehe 10 mwenzi wa 4 kesi itapotajwa tena.
Sasa lengo la kuandika huu uzi ni kuomba msaada kwenu Wana jamii forum kwasababu yule dada ananiomba ushauri mimi ili aweze kushinda hiyo kesi na kupata haki yake
Sasa ndugu mimi siyo mzoefu wa mambo ya kesi wala ata sijui maswala ya sheria naombeni msaada wenu wa A B C kumuambia ili aweze kushinda kesi yake na kupata haki yake.
Kwasababu pale mahakamani ana ata shahidi yupo yeye tu na hao matapeli wanaonekana wazoefu kwenye kesi msaada wenu jamani afanye kitu gani asije kunjichanganya akakosa haki yake
Nitashukuru Sana mkinisaidia sitakuwa na chakuwalipa Mungu atawalipa.
Asanteni sana.
Kama mwenzi moja kuna dada moja ni rafiki yangu sana yule dada kwa bahati mbaya alikutana na wale matapeli wa kutumia madini fake.
Yule dada akiwa anakuja kwenye mishe zake alikutana nao wakafanikiwa kumtapeli pesa laki 8 simu mbili na vitu vidogo vidogo .
Sasa baada ya wiki moja alifanikiwa kuwakamata wale matapeli wakiwa kwenye harakati za kuwatapeli watu wengine ndio akapiga kelele wananchi wakawashika na kuanza kwawapa kipigo .
Kwa bahati nzuri kulikuwa na polisi pembeni wakawazui wananchi kuwapiga wakawakamata wale matapeli na kuondoka nao pamoja na yule dada wakaenda polisi kufika polisi taratibu nyingine zikafatwa .
Kama kufunguliwa mashitaka na kupandishwa mahakamani na kusomewa mashitaka mara ya kwanza wakakataa kosa wakarudishwa mahabusu paka tarehe 10 mwenzi wa 4 kesi itapotajwa tena.
Sasa lengo la kuandika huu uzi ni kuomba msaada kwenu Wana jamii forum kwasababu yule dada ananiomba ushauri mimi ili aweze kushinda hiyo kesi na kupata haki yake
Sasa ndugu mimi siyo mzoefu wa mambo ya kesi wala ata sijui maswala ya sheria naombeni msaada wenu wa A B C kumuambia ili aweze kushinda kesi yake na kupata haki yake.
Kwasababu pale mahakamani ana ata shahidi yupo yeye tu na hao matapeli wanaonekana wazoefu kwenye kesi msaada wenu jamani afanye kitu gani asije kunjichanganya akakosa haki yake
Nitashukuru Sana mkinisaidia sitakuwa na chakuwalipa Mungu atawalipa.
Asanteni sana.