Naomba mbinu ya kuzungumza mbele ya watu

Felice1

Senior Member
Nov 11, 2016
106
142
Mimi ni mwanaume wa miaka 29. Kinachonisimbua mimi sio muongeaji, hasa nikiwa mbele ya watu. Huwa naumia ninapoona watu kama makondakta wa gari za mjini huku waongeaji kiasi cha kumshawishi mtu hadi acheke.

Licha ya kusoma mpaka chuo, huwa sina mazungumzo ya ziada. Huwa naongea pale ibidipo niongee. Hii hali inanisababisha nafanya kazi nyingi hadi muda wa ziada.

Naomba ushauri, zipo njia ambazo naweza kutumia ili kuongeza kiwango cha kuongea?
 
1499449_454897931277788_577868412_n.jpg
Mimi ni mwanaume wa miaka 29. Kinachonisimbua mimi sio muongeaji, hasa nikiwa mbele ya watu. Huwa naumia ninapoona watu kama makondakta wa gari za mjini huku waongeaji kiasi cha kumshawishi mtu hadi acheke. Licha ya kusoma mpaka chuo, huwa sina mazungumzo ya ziada. Huwa naongea pale ibidipo niongee. Hii hali inanisababisha nafanya kazi nyingi hadi muda wa ziada. Naomba ushauri, zipo njia ambazo naweza kutumia ili kuongeza kiwango cha kuongea?
 
Tafuta kitabu cha mwandishi DALE CARNEGIE-HOW TO DEVELOP SELF CONFIDENCE AND INFLUENCE PEOPLE BY PUBLIC SPEAKING... Vinapatikana tu sehemu nyingi huko mtaani kwa wauza vitabu..kitakupa ABCs za kujiamini na kuongea mbele za watu..vipo pia vingi vya public speaking.. Muhimu ni kwanza ujue unataka kuongelea nini, ukishajua uwe na confidence ... ni kitu ambacho unajifunza kidogo kidogo japo kuna watu ambao naturally wana uwezo huo.. hata maraisi wanapiga jaramba hotuba zao kabla ya kuja kwenye public kuongea.. hivyo hujachelewa, chukua hatua..pia uwe unajizoesha kuchangia point kwenye mijadala mbalimbali, na kujifunza vitu vingi itakupa point za kuchangia wakati wa mazungumzo.. uzuri ni kuwa shuleni ndo mahali pazuri pa kujifunzia haya mambo, bahati mbaya watu wengi wanakuwa mabubu madarasani, chuoni mkitakiwa kufanya presentation unajificha huonekani... sasa ukiingia kitaa ndo unakumbana na reality hiyo...
 
Mimi ni mwanaume wa miaka 29. Kinachonisimbua mimi sio muongeaji, hasa nikiwa mbele ya watu. Huwa naumia ninapoona watu kama makondakta wa gari za mjini huku waongeaji kiasi cha kumshawishi mtu hadi acheke. Licha ya kusoma mpaka chuo, huwa sina mazungumzo ya ziada. Huwa naongea pale ibidipo niongee. Hii hali inanisababisha nafanya kazi nyingi hadi muda wa ziada. Naomba ushauri, zipo njia ambazo naweza kutumia ili kuongeza kiwango cha kuongea?
Mkuu huko kwenu viroba bado vinapatikana? Jaribu kutumia sana viroba hasa unapokuwa na issues zinazokudai kusimama mbele za watu vitakusaidia sana! Huwa naona vijana wanapokuwa na mambo za kufanya presentation huwa wanajiandaa kwa kupiga viroba sana na wanakuwa fresh ile mbaya. Jaribu na wewe halafu utuletee mrejesho hapa jamvini!!
 
Tafuta kitabu cha mwandishi DALE CARNEGIE-HOW TO DEVELOP SELF CONFIDENCE AND INFLUENCE PEOPLE BY PUBLIC SPEAKING... Vinapatikana tu sehemu nyingi huko mtaani kwa wauza vitabu..kitakupa ABCs za kujiamini na kuongea mbele za watu..vipo pia vingi vya public speaking.. Muhimu ni kwanza ujue unataka kuongelea nini, ukishajua uwe na confidence ... ni kitu ambacho unajifunza kidogo kidogo japo kuna watu ambao naturally wana uwezo huo.. hata maraisi wanapiga jaramba hotuba zao kabla ya kuja kwenye public kuongea.. hivyo hujachelewa, chukua hatua..pia uwe unajizoesha kuchangia point kwenye mijadala mbalimbali, na kujifunza vitu vingi itakupa point za kuchangia wakati wa mazungumzo.. uzuri ni kuwa shuleni ndo mahali pazuri pa kujifunzia haya mambo, bahati mbaya watu wengi wanakuwa mabubu madarasani, chuoni mkitakiwa kufanya presentation unajificha huonekani... sasa ukiingia kitaa ndo unakumbana na reality hiyo...
Aisee asante sana mkuu umeelimisha wengi elimu hii nimeipenda
 
Haki ya nani JF ni kiboko,, hata kama ulikuwa umenuna kama Magu....li ametoka kutembelea mradi wa maji usiokamilika hapa utacheka mpaka mbavu zikuume!!
 
Mimi ni mwanaume wa miaka 29. Kinachonisimbua mimi sio muongeaji, hasa nikiwa mbele ya watu. Huwa naumia ninapoona watu kama makondakta wa gari za mjini huku waongeaji kiasi cha kumshawishi mtu hadi acheke. Licha ya kusoma mpaka chuo, huwa sina mazungumzo ya ziada. Huwa naongea pale ibidipo niongee. Hii hali inanisababisha nafanya kazi nyingi hadi muda wa ziada. Naomba ushauri, zipo njia ambazo naweza kutumia ili kuongeza kiwango cha kuongea?
Msome Adolf Hitler alikuwa ni a good public speaker .....pengine ukaokota mbinu zake....hizi picha mnabandikaga bure!
 
kunywa safari 3 za moto
Bishana kwenye siasa au mpira itakusaidia
Kula viroba utaongea tu.
Hamia Chadema
Kunywa sumu ya panya
jaribu kunywa ile gongo ya kienyeji au mataputapu utakuwa fresh tu man
Mkuu huko kwenu viroba bado vinapatikana? Jaribu kutumia sana viroba hasa unapokuwa na issues zinazokudai kusimama mbele za watu vitakusaidia sana! Huwa naona vijana wanapokuwa na mambo za kufanya presentation huwa wanajiandaa kwa kupiga viroba sana na wanakuwa fresh ile mbaya. Jaribu na wewe halafu utuletee mrejesho hapa jamvini!!
Are You Great Thinkers?.

Busara ni pamoja na kukubali jambo usilolielewa na kuacha wanaolielewa kuchangia.Badala ya kumshambulia mtoa hoja katika namna ya majibu ya DHIHAKA ni bora usichangie lolote na utakuwa umeisaidia jamii forum kwa kutokuwa na midahalo mingi isiyo na msingi pamoja na kuishushia hadhi.

Kuanzia kwa Jambo Forums na baadaye Jamii Forums ya Mwanzoni na hadi kufikia Miaka ya Juzi 2015 kurudi nyuma ilikuwa ni Pahala pema pa miongoni mwetu kujifunza mengi katika namna ya Busara sana.Hakukuwa na Haya majibu ya Facebook wala Instagram.

Leo hii kila mtu anaanzisha mada yeyote na Kuchangia chochote kwa kisingizio cha Jina feki.Ikumbukwe kuwa "Japo tunatumia Usernames na Avatar tofauti,hilo halibadilishi uhalisia wa nafsi na Mioyo yetu".Tuwe wataarabu na tusiigize ustaarabu.

Binafsi Nachukizwa na Majibu ya Hovyo humu Jamii Forums.Kama huna la kuchangia Ni BORA UKAE KIMYA.

Back to the question.Mkuu Felice1 ,Namna bora ya kuongeza Uwezo na stadi ya kuzungumza katika halaiki ya watu ni Kusoma vitabu,Articles mbalimbali kuhusu PUBLIC SPEAKING pamoja na Kuhudhuria semina mbali-mbali kuhusu hitaji yako.Kwa kuufuata huu ushauri utajikuta uki-master Kuzungumza mbele ya watu katika namna isiyoelezeka.

I stand to be corrected.
 
Tafuta kitabu cha mwandishi DALE CARNEGIE-HOW TO DEVELOP SELF CONFIDENCE AND INFLUENCE PEOPLE BY PUBLIC SPEAKING... Vinapatikana tu sehemu nyingi huko mtaani kwa wauza vitabu..kitakupa ABCs za kujiamini na kuongea mbele za watu..vipo pia vingi vya public speaking.. Muhimu ni kwanza ujue unataka kuongelea nini, ukishajua uwe na confidence ... ni kitu ambacho unajifunza kidogo kidogo japo kuna watu ambao naturally wana uwezo huo.. hata maraisi wanapiga jaramba hotuba zao kabla ya kuja kwenye public kuongea.. hivyo hujachelewa, chukua hatua..pia uwe unajizoesha kuchangia point kwenye mijadala mbalimbali, na kujifunza vitu vingi itakupa point za kuchangia wakati wa mazungumzo.. uzuri ni kuwa shuleni ndo mahali pazuri pa kujifunzia haya mambo, bahati mbaya watu wengi wanakuwa mabubu madarasani, chuoni mkitakiwa kufanya presentation unajificha huonekani... sasa ukiingia kitaa ndo unakumbana na reality hiyo...
Thanks Mkuu.

Jibu zuri kwa mtoa mada.
 
Tafuta kitabu cha mwandishi DALE CARNEGIE-HOW TO DEVELOP SELF CONFIDENCE AND INFLUENCE PEOPLE BY PUBLIC SPEAKING... Vinapatikana tu sehemu nyingi huko mtaani kwa wauza vitabu..kitakupa ABCs za kujiamini na kuongea mbele za watu..vipo pia vingi vya public speaking.. Muhimu ni kwanza ujue unataka kuongelea nini, ukishajua uwe na confidence ... ni kitu ambacho unajifunza kidogo kidogo japo kuna watu ambao naturally wana uwezo huo.. hata maraisi wanapiga jaramba hotuba zao kabla ya kuja kwenye public kuongea.. hivyo hujachelewa, chukua hatua..pia uwe unajizoesha kuchangia point kwenye mijadala mbalimbali, na kujifunza vitu vingi itakupa point za kuchangia wakati wa mazungumzo.. uzuri ni kuwa shuleni ndo mahali pazuri pa kujifunzia haya mambo, bahati mbaya watu wengi wanakuwa mabubu madarasani, chuoni mkitakiwa kufanya presentation unajificha huonekani... sasa ukiingia kitaa ndo unakumbana na reality hiyo...
Hata playstore ipo hiyo ebook
 
Back
Top Bottom