Habari, hii ni habari ya kweli kabisaa, niliunganishwa na best friend wangu katika kazi Fulani, nilifurahi Sana kutokana na wakati huo nilikuwa na uhitaji wa kazi.
Rafiki yangu hiyo naweza sema.ni mtummwenye moyo wa kipekee Sana maana,kibongobongo ni ngumu rafiki kukupeleka sehemu yenye ulaji aliyopo yeye pia.
To cut the story short, tulifanya kazi pamoja Kwa muda Kama wa miezi sita katika kampuni hiyohiyo, baadae ikatokea wanapunguza wafanyakazi na rafiki yangu akawemo katika kundi Hilo na Mimi nikabaki.
Niliumia Sana kutokana na hilo, but niliahidi kuwa pamoja Naye katika shida na raha kwa kadri ya uwezo wangu.nikitoa kiasi Cha pesa Kila mwisho wa mweZi kupatia yeye Kama shukurani tu.
Ikatoakea mweZi mmoja sikumpatia kiasi Cha pesa Kama ilivyokawaida kutokana na mm kubanwa ,kulipa Kodi,kusomesha mdogo wangu na vingine vingi,nikamweleza jinsi ilivyo.
Baada ya kumuelez ahivyo, alikasirika sana na kuniporomoshea matusi, ikiwepo na kwamba nimejiona nimefika, na bila yy nisingejuwa hiyo kampuni.nilimsihi Sana na kumwambia kwamba natambua msaada wake.
Wakuu imefikia hatua mpaka natamani kuacha hiyo kazi kwajinsi anavyonisimanga Kwa ndugu jamaa na marafiki.mpaka tunaandiak hapa mm na rafiki yangu hiyo ni Kama paka na panya, amenijengea chuki ya ajabu nashindwa nifanyeje.
Naomba mawazo yenu nifante nini ,maana najiona kama.mtumwa kupitia kazi hii.
Rafiki yangu hiyo naweza sema.ni mtummwenye moyo wa kipekee Sana maana,kibongobongo ni ngumu rafiki kukupeleka sehemu yenye ulaji aliyopo yeye pia.
To cut the story short, tulifanya kazi pamoja Kwa muda Kama wa miezi sita katika kampuni hiyohiyo, baadae ikatokea wanapunguza wafanyakazi na rafiki yangu akawemo katika kundi Hilo na Mimi nikabaki.
Niliumia Sana kutokana na hilo, but niliahidi kuwa pamoja Naye katika shida na raha kwa kadri ya uwezo wangu.nikitoa kiasi Cha pesa Kila mwisho wa mweZi kupatia yeye Kama shukurani tu.
Ikatoakea mweZi mmoja sikumpatia kiasi Cha pesa Kama ilivyokawaida kutokana na mm kubanwa ,kulipa Kodi,kusomesha mdogo wangu na vingine vingi,nikamweleza jinsi ilivyo.
Baada ya kumuelez ahivyo, alikasirika sana na kuniporomoshea matusi, ikiwepo na kwamba nimejiona nimefika, na bila yy nisingejuwa hiyo kampuni.nilimsihi Sana na kumwambia kwamba natambua msaada wake.
Wakuu imefikia hatua mpaka natamani kuacha hiyo kazi kwajinsi anavyonisimanga Kwa ndugu jamaa na marafiki.mpaka tunaandiak hapa mm na rafiki yangu hiyo ni Kama paka na panya, amenijengea chuki ya ajabu nashindwa nifanyeje.
Naomba mawazo yenu nifante nini ,maana najiona kama.mtumwa kupitia kazi hii.