Meatu01
Senior Member
- Dec 20, 2016
- 169
- 94
Salaaam sana wakuu!!
Bila kupoteza mda naomba msaada kwa aliye na mwlawasiliano yeyote yale kutoka shule ya secondary Mlongwena iliyopo Lushoto Tanga kwani kuna jamaaa anahitaji aombe nafasi ya kuenda kufanya pale field mwezi wa pili yeye anafundisha chemistry and biology
Unaweza nitumia inbox kwangu ama ukawasiliana naye moja kwa moja kwa simu namba 0628991059
Bila kupoteza mda naomba msaada kwa aliye na mwlawasiliano yeyote yale kutoka shule ya secondary Mlongwena iliyopo Lushoto Tanga kwani kuna jamaaa anahitaji aombe nafasi ya kuenda kufanya pale field mwezi wa pili yeye anafundisha chemistry and biology
Unaweza nitumia inbox kwangu ama ukawasiliana naye moja kwa moja kwa simu namba 0628991059