Naomba maujanja ya kureset 6S Tablet

hp4510

JF-Expert Member
Jan 16, 2012
6,446
6,308
Wakuu mambo vipi

Nina Samsung S6 tablet, sasa nilisahau password so nikaamua kureset

Sasa shida inayokuja after everything inanitaka niingize e mail na password ambayo hiyo password nimesahau

Nikiweka namba ya simu ambayo nilitumia kufungulia hiyo E mail ili nitumiwe link, hakuna link yoyote napata

Je, kuna ujanja wowote wa kuskip hiyo hatua?
 
Back
Top Bottom