hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,446
- 6,308
Wakuu mambo vipi
Nina Samsung S6 tablet, sasa nilisahau password so nikaamua kureset
Sasa shida inayokuja after everything inanitaka niingize e mail na password ambayo hiyo password nimesahau
Nikiweka namba ya simu ambayo nilitumia kufungulia hiyo E mail ili nitumiwe link, hakuna link yoyote napata
Je, kuna ujanja wowote wa kuskip hiyo hatua?
Nina Samsung S6 tablet, sasa nilisahau password so nikaamua kureset
Sasa shida inayokuja after everything inanitaka niingize e mail na password ambayo hiyo password nimesahau
Nikiweka namba ya simu ambayo nilitumia kufungulia hiyo E mail ili nitumiwe link, hakuna link yoyote napata
Je, kuna ujanja wowote wa kuskip hiyo hatua?