Naomba maoni yako kuhusu Futuhi

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Dec 26, 2015
2,537
4,517
Hivi wenzangu nauliza. Huwa mnawaelewaga hawa watu kweli?

Mbona sisi tupo karne ya 21 wao bado wapo karne ya 18?

Huwa mnacheka kweli mkiwaona hawa watu?

Hivi yule BABU MKOMBE yupo wapi?
 
Hakieleweki hata
Ni habari za mwanza tu hakuna jipya
Ukiangalia hicho kipindi ni Kama hujalipia kingamuzi so unangalia chochote tu kilichopo kwa TV .
 
Hivi wenzangu nauliza.. . Huwa mnawaelewaga hawa watu kweli?

Mbona sisi tupo karne ya 21 wao bado wapo karne ya 18?

Huwa mnacheka kweli mkiwaona hawa watu. ..?

Hivi yule BABU MKOMBE yupo wapi?
Kuna mbabu mmoja mle alifariki sasa sijui jina lake kuwa ndio huyo au laa
 
Hivi kae ka mzee kanachosimuliaga hadithi za uwongo na kweli mida flani ya mchana mnakafamu😀😀😀😀😀
Kuna vituo vina muda aiseee.
 
unaweza kukuta mwanza nzima hukisubiri kwa hamu, mpaka kwenye vibanda umiza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom