Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
- Thread starter
- #41
Sheria za Tz ni pasua kichwa sana mkuu, zimekaa kimagumashi makusudi ili kuwaneemesha wanasheriaNa hii inakiuka Ibara ya 13 ibara ndogo ya 6 kifungu c ya katiba ya jamuhuri ya muungano.Mtuhumiwa hana hatia hadi pale atakapotiwa hatiani na mahakama kwanini kumshikilia? Ikithibitika mahakamani kwamba hana hatia nani atafidia kuzuiliwa kwake?
Sent using Jamii Forums mobile app