Latrice
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 2,393
- 2,359
Watch some of his clips! And you'll never ask this kind of question ever.so you want to tell us that you have already uncovered magufuli?
Watch some of his clips! And you'll never ask this kind of question ever.so you want to tell us that you have already uncovered magufuli?
Haujasoma nilichokiandika?Unashaangaa mtu kuulizia mafuta au lotion ya kupaka kwa afya ya ngozi yake ?
Hata sina solution, ila niko puzzledToa solution
Umeelewa nini?Sasa ndio nimeelewa, lol
🤣🤣🤣🤣🤣Hata sina solution, ila niko puzzled
Hivi cream zake ni nzuri dearMFOLLOW director joan Instagram
.Ana cream bao zakuweka ngozi saw.a
Mi natumia Dela Cream
@Shunie mama umehama kwa jobellcosmetics?Hivi cream zake ni nzuri dear
Hahhaha dear naona boutour sijui ipoje sasa hivi yaani inanikataa kabisa nilimuona dada mmoja kapaka kennite za director Joan yaani imempendeza sana@Shunie mama umehama kwa jobellcosmetics?
Director naona wengi wanasifia vipodozi vyake, na anashauri pia vizuri sana kuhusu ngoziHahhaha dear naona boutour sijui ipoje sasa hivi yaani inanikataa kabisa nilimuona dada mmoja kapaka kennite za director Joan yaani imempendeza sana
Hivi cream zake ni nzuri dear
La vista sijajua dear ila kennite nilimuona mtu nikamuuliza anachotumia akanijibuDirector naona wengi wanasifia vipodozi vyake, na anashauri pia vizuri sana kuhusu ngozi
Mi next week ntamsaka nicheki vipodozi vyake
La vista vipi ya Resty cosmetics?
OohNi nzuri Mimi natumia Dela cream...haichubui kabisa..ila.ngozi inanga'aa nakupendeza.
Kwa hiyo Magu ana rangi mbili??.Watu mnajua kuongea mafumbo wacha kabisa.Mimi kama mdau wa masuala ya urembo ningependa kujua ngozi yako ni kavu ama ya mafuta?
Kutokana na maelezo yako nime-notice wewe si mweupe ila una rangi mbili sehemu za mwili ambazo ziko covered ni nyeupe na usoni ni mweusi kama alivyo Magufuli sivyo? Kama jibu ni ndio solution ni rahisi sana na utabakiwa na rangi moja.
Hv Serengeti bado yupo au washaachana?Director naona wengi wanasifia vipodozi vyake, na anashauri pia vizuri sana kuhusu ngozi
Mi next week ntamsaka nicheki vipodozi vyake
La vista vipi ya Resty cosmetics?
Serengeti yupi?Hv Serengeti bado yupo au washaachana?
Tafuta serum yye ya vitamin c. Uchanganye kweny lotion unayotumiaHabari wadau
Me kiasili Nina ngozi nyeupe lakini hiv karibuni ngozi yangu ya usoni imeanza kupotea hiv imekuwa Kama maji ya kunde hiv wakati kwingine kote imebaki kuwa ngozi yangu nyeupe so naombeni msaada Ni mafuta gani nitumie kwa usoni nirudishe ngozi yangu nyeupe?
Lovelovie Hiyo serum ni nini? Ni mafuta au nini? Kuhusu nichanganye na lotion nayotumia binafsi sina lotion na wala sipakagi mafuta kabisa na sikumbuki mara ya mwisho kupaka mafuta ilikuwa mwaka gani ila sio mbaya kama ukinishauri nitumie lotion gani Nzuri?Tafuta serum yye ya vitamin c. Uchanganye kweny lotion unayotumia
Tafuta serum yye ya vitamin c. Uchanganye kweny lotion unayotumia
Kuoga mbona naoga lakini sipakagi mafuta na wala sikumbuki Mara ya mwisho kupaka mafuta ni mwaka ganiMjitahidi kuoga wakuu😆😆