Mafuta mazuri ya ngozi yenye mafuta kwa wanaume

Habari Wadau!
Naomba mnishauri mafuta mazuri ya kiume kwa ngozi ya mafuta...
Asanteni sanaa

Kimsingi unatakiwa uachane na mafuta mazito kama baby care kwa kuwa Ngozi inamafuta; badala yake utumie Lotion. Sasa kujua ni ipi itaendana na ngozi yako hapo ndio sina utaalam
Tofauti na hapo, tumia mafuta ya maji (mepesi); nafikiri ndio sababu ulishauriwa mafuta ya nazi.
Kama utaweza kupata mafuta ya Baby Johnson ya maji au jamii ya hayo itakuwa nzuri pia
 
Kimsingi unatakiwa uachane na mafuta mazito kama baby care kwa kuwa Ngozi inamafuta; badala yake utumie Lotion. Sasa kujua ni ipi itaendana na ngozi yako hapo ndio sina utaalam
Tofauti na hapo, tumia mafuta ya maji (mepesi); nafikiri ndio sababu ulishauriwa mafuta ya nazi.
Kama utaweza kupata mafuta ya Baby Johnson ya maji au jamii ya hayo itakuwa nzuri pia
Thank you so much
 
Back
Top Bottom