siwacheusi
Member
- Jul 11, 2022
- 24
- 10
Habari Wadau!
Naomba mnishauri mafuta mazuri ya kiume kwa ngozi ya mafuta...
Asanteni sanaa
Naomba mnishauri mafuta mazuri ya kiume kwa ngozi ya mafuta...
Asanteni sanaa
Weka jinaPaka mafuta ya nazi isiyo na harufu.
Babycare is the best everWeka jina
Usoni tu...napata zile sebumNgozi yako ya mafuta kuanzia usoni mpaka mwilini?
Currently ndo natumia babycare ila cjaona changesBabycare is the best ever
Hutajuta
Mimi pia Nina changamoto hiyo ya kuwa na ngozi ya mafuta hasa usoni na kifuani kusababisha natokwa na vichunusi sehemu hizo.Ngozi yako ya mafuta kuanzia usoni mpaka mwilini?
Nadhani kama huna msaada ungepita tu..co lazma ujibu kejeli
Hii inaitwa kujipenda urembo ni kwa wanawake..na kama mafuta ya kutatua ttz yapo why nisiulizie?Acha urembo mkuu, mwanaume mafuta ya nini
Habari Wadau!
Naomba mnishauri mafuta mazuri ya kiume kwa ngozi ya mafuta...
Asanteni sanaa
Thank you so muchKimsingi unatakiwa uachane na mafuta mazito kama baby care kwa kuwa Ngozi inamafuta; badala yake utumie Lotion. Sasa kujua ni ipi itaendana na ngozi yako hapo ndio sina utaalam
Tofauti na hapo, tumia mafuta ya maji (mepesi); nafikiri ndio sababu ulishauriwa mafuta ya nazi.
Kama utaweza kupata mafuta ya Baby Johnson ya maji au jamii ya hayo itakuwa nzuri pia
Tafuta Nivea dry skin lotion