Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,112
- 2,379
Asante kwa uzi huu, nimempata mtu niliyepotezana naye miaka 10 iliyopita. Nilimtafuta kwa njia zote bila mafanikio sasa nimempata
Hizo cm wakati unanunua ziko vizuri kila idara, kaa nayo kwa miezi 4-6 utaona kila kitu kinaanza kuwa hafifu, kamera utaona kwa mbali ina km ukungu au moshi hivi. Memory inaanza kufuta picha moja baada ya nyingine, majina kwenye line inafutwa moja baada ya nyingine nk. Simu ni iphone km wallet yako iko vizuri, Samsung na XiaomiTecno imefuta namba zangu za simu almost zote kwenye sim card,zimebaki 15 out of 200+ ,wale jamaa wanaozitukana Tecno huwa wapo sahihi
Kweli kabisa Mkuu,mfano, iphone 5 mpaka mwaka jana ilikuwa na uwezo mkubwa kuliko TECNo za 2022,kuanzia camera mpaka performance.Hizo cm wakati unanunua ziko vizuri kila idara, kaa nayo kwa miezi 4-6 utaona kila kitu kinaanza kuwa hafifu, kamera utaona kwa mbali ina km ukungu au moshi hivi. Memory inaanza kufuta picha moja baada ya nyingine, majina kwenye line inafutwa moja baada ya nyingine nk. Simu ni iphone km wallet yako iko vizuri, Samsung na Xiaomi