Given Edward
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 850
- 203
Mwalimu aliingia darasani na akaanza kufundisha ubaoni. Katikati ya pindi si akajamba! Wanafunzi wacha wacheke we! Mpaka akaona aibu akaomba likizo miezi 3. Aliporudi,
Mwalimu: wanafunzi tuliishia wapi?
Wote: ULIPOJAMBA!
Mwalimu: wanafunzi tuliishia wapi?
Wote: ULIPOJAMBA!