Hata mimi picha hazifungukiTatizo siku hizi hapa JF picha zimekua shida kufunguka, sijui ni mimi tu!
Tatizo siku hizi hapa JF picha zimekua shida kufunguka, sijui ni mimi tu!
Hata mimi picha hazifunguki
MZUNGUKO WOTE NI 94ft
Mzunguko mmoja ni tofali 63
Blocks 63 X 6 = 370
Cement 11
Nondo 06
Ring 40
Mchanga
Kokoto
Nishaipata, ahsanteJaribu kubofya hyo link
Katamu hakaHabari wadau naomba kuuliza kujenga msingi wa nyumba ndogo ya chumba kimoja inaweza gharimu shilingi ngapi?Nimeweka picha hapo chini.
Vipimo vyake ikiwa ni mita 6 kwa 6
Picha- https://pin.it/4MI1WHU
Roughly tofali ni Sh. 1,000. (+)or (-) 100Kwa dar es salaam pande za Tabata inaweza fikia total ya shingapi?
Sanaa, happy marekebisho madogo tu ili upate baraza ya njeKatamu haka
Yeah miea nataka jenga kama hicho ila sitting na kictche open floor plan, masterbedroom na public toiletSanaa, happy marekebisho madogo tu ili upate baraza ya nje
Unyama mkuu, nimeiiba hiiHabari wadau naomba kuuliza kujenga msingi wa nyumba ndogo ya chumba kimoja inaweza gharimu shilingi ngapi?Nimeweka picha hapo chini.
View attachment 2664186
Vipimo vyake ikiwa ni mita 6 kwa 6
Ramani ya chumba kimoja,toilet, sebule na kitchen unauzaje mkuu nikutafute mwisho wa mwezHello ... Nyumba yako inaendana Sana na hiyo vyumba viwili yetu ... Waweza tumia data zakeView attachment 2838786
Hello...Ramani ya chumba kimoja,toilet, sebule na kitchen unauzaje mkuu nikutafute mwisho wa mwez