Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,099
- 630
Chadema wakishinda kiti cha Urais,,, Nitakuwa wa kwanza kutoka CCM!!!
Sio kosa lako.,ni ufahamu wako, ndipo uwezo wako ulipoishia...!!!ulipojuinga humu jamvini uliingia kwa ajili ya CHADEMA na nakupongeza kwa sababu hujawahi kuacha kufanya kazi ulizoelekezwa na mkuu wako MWIGULU NCHEMBA ila pia nakuona kama jinamizi la CHADEMA bado linakusumbua maana ukiasi mzazi aliyekunyonyesha bila sababu ili mradi umependezwa na penzi la fedha huwezi kuwa salama na ndoa yako
leo ulichokosea sana ni kutotaka CHADEMA iwaachie mamluki eti kwa sababu wana nafasi fulani unasahau kuwa ukweli hauangalii nafasi ndio maana ukamuumbua hata mtu wako wa sirini ZZK na
2 nashangaa wewe kuendelea kuamini kuwa KIMESERA NA MTEI tu ndio wanaweza kuwa wazee ndani ya Chadema
3 Uliondoka CHADEMA ukisema HECHE NI DIKTETA na Kibaraka wa wakubwa leo unakubali kuwa anadeligate power na kumpa mtu majukumu hii umempa sifa kubwa ya kiuongozi
NAKUSHAURI nasikia uliolewa? kaa utulie upate mtoto ulee watoto kwa sababu kwenye siasa maswala yako yalishafungwa mume akikukataa unajua kina MWIGULU walivyokuwa wanakunyima haki ya kushuhudia ujana wako pole sana
CHADEMA LAZIMA WAINGIE IKULU HILO NI KWELI
Nasema hata wakishinda viti kumi vya ubunge..,mimi najiuzulu siasa...!!!Chadema wakishinda kiti cha Urais,,, Nitakuwa wa kwanza kutoka CCM!!!
"Tukishika Dola tutaruhusu utengenezaji wa pombe ya gongo kisheria" - Dr. SlaaAin't you silly too?.... for this?
Shonza hiyo hapo nmeipuote na ngoja niandike kwenye notebook.Hata hivyo nakupenda naomba.nije PMNasema hata wakishinda viti kumi vya ubunge..,mimi najiuzulu siasa...!!!
...sisi wakristo tunajua kuwa Mussa alianzisha safari ya waisrael kwenda Kanaani, ila hakuwafikisha. Kina Mtei (edwin), Kimesera (Victor), Bob Makani na wengineo walianzisha safari ya kwenda Ikulu, ila hawakutufikisha. Mbowe ni sawa na Joshua atakayetufikisha Ikulu..
Maneno hayo kwenye aya niliyoinukuu hapo juu si yangu bali ni ya EmmanuelMasonga Mwenyekiti wa BAVICHA kutoka wilaya ya njombe akimsifu Mbowe mbele ya Wazee wanaojiita ..wazee wa CHADEMA.. jijini Dar essalaam.
Labda niseme ni kujitia Upofu, labda niseme Mapenzi yaliyopitiliza na wakati mwingine napata dhana kuwa ni UMBUMBUMBU, na si kingine chochote kinachowafanya Vijana wa BAVICHA kutojitathimini,kutojiuliza na kutofikiri sawasawa kabla ya kutoa kauli, hasa kauli hiyo ikitolewa kwenye kongamano la watu.
Yapo mambo sisi vijana tukiyafanya, yanatudhalilisha, yanatufedhehesha mbele za watu na mbaya zaidi yanatushusha hadhi na kututukanisha.Labda ni kukosa ufahamu lakini nashawishika kuamini ni UJUHA tu ndio unaweza kumfanya kijana ambaye anatokwa na jasho mwili mzima kwa jua kali la mchana na yeye anaaminishwa kuwa huo ni USIKU wa manane wenye baridi kali na anapaswa kujifunika.,nae kama ZUZU akubali aseme NDIOMZEE ni usiku wa giza totoro..
Siamini kuwa BAVICHA wanaamini kuwa CHADEMA yao inaimarika.,siamini hivyo na nina uhakika kuwa hata HECHE haamini hivyo labda ndio maana hajasema yeye kwa niaba ya Vijana, kamtafuta mmoja wa wasiojielewa atoe salamu za bavicha kuwa sasa CHADEMA inaelekea IKULU...vichekesho.
Ni CHADEMA ipi..? hii ambayo inaongozwa kifalme, kibabe na kibedui..? Taasisi ambayo wachache tu ndio wana haki na wengine ni wasindikizaji.? Chadema yenye Mwenyekiti asiye na Makamu, Yenye Katibu Mkuu asiye na Naibu, Yenye Mwenyekiti wa Vijana asiye naMakamu..? au Chadema ipi..? waswahili wanasema kinywa chenye mapengo hakitafuni muwa.
Hivi IKULU ni Kariakoo sokoni, kuwa hata kwa daladala au boda boda utafika..? nadhani wanaojiaminisha kuwa CHADEMA ambayo viongozi wake wanajiuzulu mpaka vyombo vya habari vinapata ukakasi kuripoti matukio hayo ya kujiuzulu eti ni Chadema inayoelekea IKULU..chadema ambayo ilidharau wapinzani wengine na kuwakataa leo wamerudi kuwapigia magoti waungane nao na kuwaomba msamaha kwa kauli walizozitoa mwanzo za hakuna ndoa ya wanaume wengi eti ndio CHADEMA imara inayojiandaa kwenda Ikulu..?
CHADEMA yenye wazee kutoka kigoma waliotembea kuja kumchukulia Fomu MBOWE,ambao sio kina MTEI, sio KIMESERA bali ATHUMAN MZIGO al-maarufu..MAPINDO SABA.. hajulikani kokote kwenye siasa za Tanzania, mganga njaa ambae eti leo thamani yake ni kubwa kuliko waasisi ambao bado wako hai akina MTEI..,eti yeye ndio aamue nani anafaa kuendesha Chama hicho...off all people MAPINDO SABA..??? kweli chadema kweli..,mapindo saba ndio awe muamuzi wa chadema inayoelekea IKULU..seriously..???
Ikiwa MAPINDO SABA ndio Mzee wa CHADEMA leo na MASONGA ndio kijana wa CHADEMA leo basi yatosha kusema kuwa CHADEMA ya leo iko tayari kuelekea kuzimu sio Ikulu...
Naomba kuwasaidia Vijana wa BAVICHA Kufikiri.
Nasema hata wakishinda viti kumi vya ubunge..,mimi najiuzulu siasa...!!!
Mbona chadema,chadema..... tu and not TLP,UDP,CHAUSTA etc ?....sisi wakristo tunajua kuwa Mussa alianzisha safari ya waisrael kwenda Kanaani, ila hakuwafikisha. Kina Mtei (edwin), Kimesera (Victor), Bob Makani na wengineo walianzisha safari ya kwenda Ikulu, ila hawakutufikisha. Mbowe ni sawa na Joshua atakayetufikisha Ikulu..
Maneno hayo kwenye aya niliyoinukuu hapo juu si yangu bali ni ya EmmanuelMasonga Mwenyekiti wa BAVICHA kutoka wilaya ya njombe akimsifu Mbowe mbele ya Wazee wanaojiita ..wazee wa CHADEMA.. jijini Dar essalaam.
Labda niseme ni kujitia Upofu, labda niseme Mapenzi yaliyopitiliza na wakati mwingine napata dhana kuwa ni UMBUMBUMBU, na si kingine chochote kinachowafanya Vijana wa BAVICHA kutojitathimini,kutojiuliza na kutofikiri sawasawa kabla ya kutoa kauli, hasa kauli hiyo ikitolewa kwenye kongamano la watu.
Yapo mambo sisi vijana tukiyafanya, yanatudhalilisha, yanatufedhehesha mbele za watu na mbaya zaidi yanatushusha hadhi na kututukanisha.Labda ni kukosa ufahamu lakini nashawishika kuamini ni UJUHA tu ndio unaweza kumfanya kijana ambaye anatokwa na jasho mwili mzima kwa jua kali la mchana na yeye anaaminishwa kuwa huo ni USIKU wa manane wenye baridi kali na anapaswa kujifunika.,nae kama ZUZU akubali aseme NDIOMZEE ni usiku wa giza totoro..
Siamini kuwa BAVICHA wanaamini kuwa CHADEMA yao inaimarika.,siamini hivyo na nina uhakika kuwa hata HECHE haamini hivyo labda ndio maana hajasema yeye kwa niaba ya Vijana, kamtafuta mmoja wa wasiojielewa atoe salamu za bavicha kuwa sasa CHADEMA inaelekea IKULU...vichekesho.
Ni CHADEMA ipi..? hii ambayo inaongozwa kifalme, kibabe na kibedui..? Taasisi ambayo wachache tu ndio wana haki na wengine ni wasindikizaji.? Chadema yenye Mwenyekiti asiye na Makamu, Yenye Katibu Mkuu asiye na Naibu, Yenye Mwenyekiti wa Vijana asiye naMakamu..? au Chadema ipi..? waswahili wanasema kinywa chenye mapengo hakitafuni muwa.
Hivi IKULU ni Kariakoo sokoni, kuwa hata kwa daladala au boda boda utafika..? nadhani wanaojiaminisha kuwa CHADEMA ambayo viongozi wake wanajiuzulu mpaka vyombo vya habari vinapata ukakasi kuripoti matukio hayo ya kujiuzulu eti ni Chadema inayoelekea IKULU..chadema ambayo ilidharau wapinzani wengine na kuwakataa leo wamerudi kuwapigia magoti waungane nao na kuwaomba msamaha kwa kauli walizozitoa mwanzo za hakuna ndoa ya wanaume wengi eti ndio CHADEMA imara inayojiandaa kwenda Ikulu..?
CHADEMA yenye wazee kutoka kigoma waliotembea kuja kumchukulia Fomu MBOWE,ambao sio kina MTEI, sio KIMESERA bali ATHUMAN MZIGO al-maarufu..MAPINDO SABA.. hajulikani kokote kwenye siasa za Tanzania, mganga njaa ambae eti leo thamani yake ni kubwa kuliko waasisi ambao bado wako hai akina MTEI..,eti yeye ndio aamue nani anafaa kuendesha Chama hicho...off all people MAPINDO SABA..??? kweli chadema kweli..,mapindo saba ndio awe muamuzi wa chadema inayoelekea IKULU..seriously..???
Ikiwa MAPINDO SABA ndio Mzee wa CHADEMA leo na MASONGA ndio kijana wa CHADEMA leo basi yatosha kusema kuwa CHADEMA ya leo iko tayari kuelekea kuzimu sio Ikulu...
Naomba kuwasaidia Vijana wa BAVICHA Kufikiri.
July angalia watakumwagia sumu hawa jamaa siyo watu naona unawapa za uso kweli.
July angalia watakumwagia sumu hawa jamaa siyo watu naona unawapa za uso kweli.
Vile namfahama Emmanuel Masonga angekuwa ni kichaa kama Juliana Shonza angeweza kumuomba uchi ili atulie mana Shonza ukimtia tuu huwezi ona akikuponda katika mtandao hata siku moja sasa kijana Masonga mseminari hawezi ingia katika mtego wa kukutumliza kwa kukutimizia haja zako za kimapenzi huo utaratibu wanao huko uliko CCM. BAVICHA INAJITAMBUA VEMA SANA NA MASONGA ALIZUNGUMZA KWA NIABA YA VIJANA WA BAVICHA BAADA YA KUTKA MAONI YA SIS VIJANA JUU YA KUMTAKA MBOWE AWE KIONGOZ NDANI YA CHAMA CHETU. POLE SANA SHONZA KWANI HUJUI MASONGA KATOKA WAPI NA HUJUI NINI ANAKIFANYA HIVYO HUNA UHALALI WA KUKOSOA KWANI WEWE NI MMOJA YA WASALITI WA HARAKATI ZA UKOMBOZI BAADA YA KUPEWA MIMBA NA MWIGULU. MASONGA NIKUSHAURI ACHANA NA HUYU MPUUUZI WA DANGULO LA LUMUMBA PIGA KAZI ZA KUWAKOMBOA WATANZANIA"...sisi wakristo tunajua kuwa Mussa alianzisha safari ya waisrael kwenda Kanaani, ila hakuwafikisha. Kina Mtei (edwin), Kimesera (Victor), Bob Makani na wengineo walianzisha safari ya kwenda Ikulu, ila hawakutufikisha. Mbowe ni sawa na Joshua atakayetufikisha Ikulu.."
Maneno hayo kwenye aya niliyoinukuu hapo juu si yangu bali ni ya EmmanuelMasonga Mwenyekiti wa BAVICHA kutoka wilaya ya njombe akimsifu Mbowe mbele ya Wazee wanaojiita "..wazee wa CHADEMA.." jijini Dar essalaam.
Labda niseme ni kujitia Upofu, labda niseme Mapenzi yaliyopitiliza na wakati mwingine napata dhana kuwa ni UMBUMBUMBU, na si kingine chochote kinachowafanya Vijana wa BAVICHA kutojitathimini,kutojiuliza na kutofikiri sawasawa kabla ya kutoa kauli, hasa kauli hiyo ikitolewa kwenye kongamano la watu.
Yapo mambo sisi vijana tukiyafanya, yanatudhalilisha, yanatufedhehesha mbele za watu na mbaya zaidi yanatushusha hadhi na kututukanisha.Labda ni kukosa ufahamu lakini nashawishika kuamini ni UJUHA tu ndio unaweza kumfanya kijana ambaye anatokwa na jasho mwili mzima kwa jua kali la mchana na yeye anaaminishwa kuwa huo ni USIKU wa manane wenye baridi kali na anapaswa kujifunika.,nae kama ZUZU akubali aseme NDIOMZEE ni usiku wa giza totoro..
Siamini kuwa BAVICHA wanaamini kuwa CHADEMA yao inaimarika.,siamini hivyo na nina uhakika kuwa hata HECHE haamini hivyo labda ndio maana hajasema yeye kwa niaba ya Vijana, kamtafuta mmoja wa wasiojielewa atoe salamu za bavicha kuwa sasa CHADEMA inaelekea IKULU...vichekesho.
Ni CHADEMA ipi..? hii ambayo inaongozwa kifalme, kibabe na kibedui..? Taasisi ambayo wachache tu ndio wana haki na wengine ni wasindikizaji.? Chadema yenye Mwenyekiti asiye na Makamu, Yenye Katibu Mkuu asiye na Naibu, Yenye Mwenyekiti wa Vijana asiye naMakamu..? au Chadema ipi..? waswahili wanasema kinywa chenye mapengo hakitafuni muwa.
Hivi IKULU ni Kariakoo sokoni, kuwa hata kwa daladala au boda boda utafika..? nadhani wanaojiaminisha kuwa CHADEMA ambayo viongozi wake wanajiuzulu mpaka vyombo vya habari vinapata ukakasi kuripoti matukio hayo ya kujiuzulu eti ni Chadema inayoelekea IKULU..chadema ambayo ilidharau wapinzani wengine na kuwakataa leo wamerudi kuwapigia magoti waungane nao na kuwaomba msamaha kwa kauli walizozitoa mwanzo za " hakuna ndoa ya wanaume wengi" eti ndio CHADEMA imara inayojiandaa kwenda Ikulu..?
CHADEMA yenye wazee kutoka kigoma waliotembea kuja kumchukulia Fomu MBOWE,ambao sio kina MTEI, sio KIMESERA bali ATHUMAN MZIGO al-maarufu"..MAPINDO SABA.." hajulikani kokote kwenye siasa za Tanzania, mganga njaa ambae eti leo thamani yake ni kubwa kuliko waasisi ambao bado wako hai akina MTEI..,eti yeye ndio aamue nani anafaa kuendesha Chama hicho...off all people MAPINDO SABA..??? kweli chadema kweli..,mapindo saba ndio awe muamuzi wa chadema inayoelekea IKULU..seriously..???
Ikiwa MAPINDO SABA ndio Mzee wa CHADEMA leo na MASONGA ndio kijana wa CHADEMA leo basi yatosha kusema kuwa CHADEMA ya leo iko tayari kuelekea kuzimu sio Ikulu...
Naomba kuwasaidia Vijana wa BAVICHA Kufikiri.
Chadema wanapaswa kuhurumiwa hawajui wanafanya nini hapa nchini.