Misunderstood
JF-Expert Member
- Aug 4, 2020
- 384
- 882
- Thread starter
- #21
Sio kila neno mwanaume akimwambia mwanamke aliyenaye huwa amaanisha, wengi huwa wanajaribu tu kuona uwezo wako wa kufikiri
Umenena
Sio kila neno mwanaume akimwambia mwanamke aliyenaye huwa amaanisha, wengi huwa wanajaribu tu kuona uwezo wako wa kufikiri
Mwanaume huwa hayuko tayari kuzaa na mtu asiyempenda! Ila mabinti huwa mnalazimisha mnadhani mkitubebea mimba mnatukomoa!! Au mnadhani mkibeba mimba ndo tutawapenda...hatuko hivyo hata siku moja
Lolote litakalotokea ustawi isihusishwe kutoa maamuzi mkishakubaliana bhasi myamalize wenyew. Kuzaa na mtu ni safar nyngine has kwa wanaume siyo kujtegmea tu! Kutegemew na kuwajibika. Ukikubali kumzalia asiyekupenda jiandae kumnyima mtoto uzeeni
Hua inakuaga emergency kwa mtu ambae humpendiHujaelewa swali bro!
Unamaanisha mtoa mada kashaharibu au me ndo sijaelewa?Hakuna kitu kinavuruga kama kutia mimba sehemu ambayo mtu ulipanga kupita tu.
Unamuedit kwa kumvutia hisia unaempenda kwa dhati,ila usipokua makini unaweza jikua uko na Jeni ukamuita AnnaKumbe unajua mkuu huy hakika sikua na hisia naye bali alinipenda mwenyewe bila mimi kumtaka then alizoea kuja kuja geton nikapita nae lakini hisia nae wala sikua naee