Wananajanvi wenzangu naomben kuuliza kama hili lililonipata ni tatizo au? Takriban wiki sasa nimekua nikipatwa na kiu ya kufa mtu na kujikuta nakunywa maji mengi sana,karibia lita 3-4 kwa cku.na kukojoa kwa sana tu..madakitar uwanja ni wenu,cjaenda bado spital kwa uchunguz..nimeanzia kwanza kwenu jf.