One of these days I will dive head first to your pm, huwezi ukawa hupatikani utadhani unatumia wifi ya ofisi.tehe tehe tehe
One of these days I will dive head first to your pm, huwezi ukawa hupatikani utadhani unatumia wifi ya ofisi.tehe tehe tehe
Inawezekana umezaa na mume wa mtu na ndo maana unaona poa tu asipokuwepo as long as anatoa matumizi.Jmn kiukweli zingine ni tabia tuu single woman tunaziendekeza just imagine mwanaume angekuwa mbali au ni mume wa mtu utaacha kupeleka mtoto hosp mpk aje duuh hii n upungufu kwa kweli
Ushauri wangu kaka kuwa kauzu as long as unatoa matumiz na upo responsible kwa vitu vingi atajirekebishaaa tuu
Nilibanwa, hahahahahahahahahaOne of these days I will dive head first to your pm, huwezi ukawa hupatikani utadhani unatumia wifi ya ofisi.
Ukilaza uko wapi?Huyo mzazi mwenzio ana pepo LA ukilaza bila shaka anahitaji maombi ya gwajima tena Leo ndio siku nzuri zaidi maana atapata uponyaji Wa pekee
Mwingine huyu hapaKwa nini umezaa kabla ya ndoa kwanza!?
Wakati wa kuiweka hiyo mimba muda ulikuwa nao tele saa hizi kumpeleka mtoto hospitali ndio unakuwa huna muda kweli?
Huyo mzazi mwenzio yeye ndio hana kazi au kazi yake yeye haogopi kuipoteza? Au huyo bosi wako unakofanya kazi mwanaye akiumwa naye haendi kumpeleka hospitali?
Ebu muwe considerate kidogo, mtu umemzalisha, na kwa mwandiko wako huu inaonekana hujamuoa, hiyo siku moja anayotaka ushiriki katika makuzi ya mtoto wako ndio unamleta JF kumuanika!!!?
Nyie ndio mnakuja kujitambulisha uzeeni eti "mimi ndio baba yako" Ukiona mtu anajitambulisha ujue kuna kipindi katika maisha ya mwanae hakuwepo.
Kilichobaki ni kubanana na hiko kinachokubana, hamna namnaNilibanwa, hahahahahahahahaha
Nimebanana na kaziKilichobaki ni kubanana na hiko kinachokubana, hamna namna
Just because wanaku support doesnt mean you are all right.Wadau mna mawazo mazuri sana hii ndio raha ya Jf
Aisee pole yaani mpaka wikiendi kweli umebanwa.Nimebanana na kazi
hahahahahaha haya ahsanteAisee pole yaani mpaka wikiendi kweli umebanwa.
Ndio wapo sijakataa,Ukilaza uko wapi?
Kumhitaji mwanaume ashiriki katika malezi ya mtoto?
Hujawaona wanaume ambao wako first hand katika malezi ya watoto wao. Ambao ndio wanawapeleka watoto wao spitali. Ambao ndio wanaoamka usiku kuwaongezea watoto wao wadogo maziwa kwenye chupa.
Ambao ndio wanatoka weekend na watoto wao. Ambao wanawapa watoto wao kipaumbele zaidi ya ndugu na marafiki.
Kuna wanaume dadangu.
Sio hao wa kutoa hela na kusema wanalea.
Come on guys!!
Umeona ee?! We muda wote uko pembeni pesa ya permpas utaipataje?!Mkuu yani hawa ndivyo walivyo hawajui wanachokitaka anataka uwe karibu ya mtoto mda wote alafu hapohapo akuombe hela ya pampas, anaweza kuhitaji mahitaji ya mtoto alafu akasema unamjali mtoto tu yeye humjali, in short hawafai.
Wanawake huwa tuna mda wa kutosha kulea watoto, hata ukiaga ofisini mtoto ana shida ni rahisi kupewa ruhusa ,ukilingnisha na mwanaume, tupo more responsible zaidi. Kama mwanaume anajali kwa sapot ya hela. wewe tena unataka ageuke kibegi hiyo ni shida!!!!Kwa nini umezaa kabla ya ndoa kwanza!?
Wakati wa kuiweka hiyo mimba muda ulikuwa nao tele saa hizi kumpeleka mtoto hospitali ndio unakuwa huna muda kweli?
Huyo mzazi mwenzio yeye ndio hana kazi au kazi yake yeye haogopi kuipoteza? Au huyo bosi wako unakofanya kazi mwanaye akiumwa naye haendi kumpeleka hospitali?
Ebu muwe considerate kidogo, mtu umemzalisha, na kwa mwandiko wako huu inaonekana hujamuoa, hiyo siku moja anayotaka ushiriki katika makuzi ya mtoto wako ndio unamleta JF kumuanika!!!?
Nyie ndio mnakuja kujitambulisha uzeeni eti "mimi ndio baba yako" Ukiona mtu anajitambulisha ujue kuna kipindi katika maisha ya mwanae hakuwepo.