NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,397
Sisemi usimsikilize ila na yeye huyo mzazi mwenzio ana chukua advantage anajua una respond vizuri anajua weakness yako iko wapi,hana jipya zaidi ya wivu unaomsumbua anadhani kukupelekesha hivyo ndio sawa,chakufanya kaanae chini talk to her like a Man kua hutokua nae mda wowote aanaposema yeye as kuna mda unakua kazini,au na mishemishe zakutafuta maisha,na hata huko hospital wewe ukifika unakoingea nini wakati yeye ndio anaelala nae nakuamka nae?
timiza majuku yako kama baba lakini usi jaribu ku meet her expectations sababu huwezi nakwambia hivyo wengi wetu wanawake wanajaribu kukupelekesha wakikuona unaelekea..
timiza majuku yako kama baba lakini usi jaribu ku meet her expectations sababu huwezi nakwambia hivyo wengi wetu wanawake wanajaribu kukupelekesha wakikuona unaelekea..