McDeedanny
Member
- Apr 14, 2013
- 56
- 7
Nawasalim wote ndugu zangu,nilikuwa naomba kuuliza kuwa kama umwpata four ya 26 na unataka kwwnda uhasb chuo lkn masomo ya business umefil yani una F kwenye hayo masomo na hesabu pia,je utaenda wapi utaweza kweli kupata chuo kwamfano CBE AU IIA ARUSHA.PLZ ADVICE ME WAT TO DO DEAR BROTHERS N SISTERS,THNKX.