Mkimuyangu
JF-Expert Member
- Oct 5, 2022
- 1,054
- 1,947
- Thread starter
- #21
Hapana siwezi, maana ni mwamke ambaye anajiheshimu sanaSa unasubiri nini kumla?
Hapana siwezi, maana ni mwamke ambaye anajiheshimu sanaSa unasubiri nini kumla?
Heshima ikwapi hapo? Mbona hamheshimu mume wake anakupiga vizinga na kukwambia yasiyokuhusu?Hapana siwezi, maana ni mwamke ambaye anajiheshimu sana
Nimempa vitu vingi sana, kabla ya kumtamkia kama ninataka kumuowa maana maisha yake yalikuwa kidogo changamoto,lakini namuona bado anataka niendelee kumsaidia wakati ana mume wake
Umeona eeh? Huyu mwanamke msungo tu na mapepe kama wengine wengi tuu...Heshima ikwapi hapo? Mbona hamheshimu mume wake anakupiga vizinga na kukwambia yasiyokuhusu?
Kabisa, apelekewe motoooUmeona eeh? Huyu mwanamke msungo tu na mapepe kama wengine wengi tuu...
Yeye ampelekee moto kimoja ijulikane
Anataka libolo huyoKabisa, apelekewe motooo
siyo kwamba alikuja kufanya kazi na siku hiyohiyo nikamtongoza hapana,nilimuomba jirani yangu anitafutie binti wa kazi mwaminifu,alipokuja kweli alikuwa na hari fulani ya maisha magumu,nikawa namfever kwa vitu vingi,kumuweka awe msafi alingane na marafiki zake,baada ya kuzoeana akaniambia hana mahusiano kwa miaka 3,jamaa aliyemzalisha kamtelekeza,katika kumchunguza tabia yake kwa kipindi cha miezi sita nikaona aninifaa kuwa mke wangu,nilipomwambia jibu lake lilikuwa kama ningeambiwa toka mwanzo nakuja ili uniowe ningekukubali,lakini sasa hivi wewe ni boss wangu haiwezekaniWewe kaka mleta mada sijaona adabu wala tabia nzuri kwa huyo mwanamke wa mtu. Kitendo cha yeye kuolewa na kuendeleza mawasiliano na kuombana hela na mwanaume aliyemtongoza zamani ni kosa na kujiweka kwenye hatari ya mtongozo,
Pia kitendo cha kukwambia mambo ya ndani ya ndoa yao nacho sio sawa. Ana tabia mbaya.
Huu sasa ndiyo ushauri wa maana!Unaonekana wewe ni mtoto na yeye ni mtoto.
Pili unaonekana wewe bado unampenda.
Kukukataa kwa kigezo cha kua wewe ni boss wake haikua sababu, binti hakua amekukubali hivyo akaona asingizie hiyo sababu.
Sasa cha kukushauri, usiendeleze mawasiliano nae ya karibu. Kaa nae mbali.
Mwambie ajali familia yake na mume wake. Wewe kua bize na mambo yako. Tafta mwanamke mwingine uoe.
Mbona hadithi ndefuusiyo kwamba alikuja kufanya kazi na siku hiyohiyo nikamtongoza hapana,nilimuomba jirani yangu anitafutie binti wa kazi mwaminifu,alipokuja kweli alikuwa na hari fulani ya maisha magumu,nikawa namfever kwa vitu vingi,kumuweka awe msafi alingane na marafiki zake,baada ya kuzoeana akaniambia hana mahusiano kwa miaka 3,jamaa aliyemzalisha kamtelekeza,katika kumchunguza tabia yake kwa kipindi cha miezi sita nikaona aninifaa kuwa mke wangu,nilipomwambia jibu lake lilikuwa kama ningeambiwa toka mwanzo nakuja ili uniowe ningekukubali,lakini sasa hivi wewe ni boss wangu haiwezekani
Kakuona wewe zuzu ndomaana, ungekuwa ni mwanaume kamili mwenye msimamo asingethubutu kuomba. Afu unaruhusuje demu unayempenda aolewe na mwingine?Nimempa vitu vingi sana, kabla ya kumtamkia kama ninataka kumuowa maana maisha yake yalikuwa kidogo changamoto,lakini namuona bado anataka niendelee kumsaidia wakati ana mume wake
Sasa mbona umeruhusu atongozwe na kuolewa na mwingine we vipiyaani nimuache waje watongoze wengine wakati mda wote wakati yuko na mimi nilikuwa namsoma tabia yake nikalizika naye
Hapana siwezi, maana ni mwamke ambaye anajiheshimu sana