Omuchimati
JF-Expert Member
- Aug 23, 2014
- 427
- 202
Hivi kura tutapigia UKAWA au CHADEMA?
Majibu tafadhali........
Majibu tafadhali........
Hv kura tutapigia ukawa au chadema?majibu tafadhali........
Utaipigia chadema kwa urais ubunge inategemea kama jimbon kwako kama ni wa cdm basi mpigie kura huyo na udiwan hvyo kama ni wa cuf au nccr bas mpe kura yako.
Ukawa iko wapi hapo?
Ni muunganiko wa hivyo vyama ulivyotajiwa[/QUOTE
Basi kura ni siri yangu naona mnatuchanganya,sijui walipokuwa wanapigia chepuo ukawa waliwaelimisha vizuri wananchi mwaka huu tunawapa nchi kiulaini tena Ccm.
Kama hadi leo hujui namna kura zinavyopigwa, hiyo kadi yako itunze tu itakusaidia kusajili line na kuombea mikopoHivi kura tutapigia UKAWA au CHADEMA?
Majibu tafadhali........
Hivi kura tutapigia UKAWA au CHADEMA?
Majibu tafadhali........
Naona mmedhamiria kuipa nchi CUF, ukisoma viziri ibara 37(5) ya katiba ya JMT utaghairi kumpigia kura lowasa.Utaipigia chadema kwa urais ubunge inategemea kama jimbon kwako kama ni wa cdm basi mpigie kura huyo na udiwan hvyo kama ni wa cuf au nccr bas mpe kura yako.
Hivi kura tutapigia UKAWA au CHADEMA?
Majibu tafadhali........
Tunapigia CCM!Hivi kura tutapigia UKAWA au CHADEMA?
Majibu tafadhali........
Ni muunganiko wa hivyo vyama ulivyotajiwa[/QUOTE
Basi kura ni siri yangu naona mnatuchanganya,sijui walipokuwa wanapigia chepuo ukawa waliwaelimisha vizuri wananchi mwaka huu tunawapa nchi kiulaini tena Ccm.
Kumbe pandikizi la ccm
Naona huelewi sheria ya uchaguzi ya TZ,kaisome halafu urudiUkawa iko wapi hapo?
Mleta mada unazingua acha kutuyeyusha. Kiukweli huwezi kuwa na ufahamu wa kutumia jf ukashindwa kujua nini maana ya ukawa katika uchaguzi ujao. Acha hizo bana be serious cause ama sure wewe sio bodaboda
Mleta mada unazingua acha kutuyeyusha. Kiukweli huwezi kuwa na ufahamu wa kutumia jf ukashindwa kujua nini maana ya ukawa katika uchaguzi ujao. Acha hizo bana be serious cause ama sure wewe sio bodaboda