mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,106
- 3,158
Mpaka sasa nafikisha miaka 43,nimeijua moja tu,nayo ni kusaidia kwenye elimu, nje ya hapo sijaona.
Hapa nazungumzia UKRISTO NA UISLAMU.
Hapa nazungumzia UKRISTO NA UISLAMU.
Kujitoa muhanga.Mpaka sasa nafikisha miaka 43,nimeijua moja tu,nayo ni kusaidia kwenye elimu, nje ya hapo sijaona
Hapa nazungumzia UKRISTO NA UISLAMU.
ewaaa....kwa sauti ya koffi olomide.Kuwa mtumwa wa fikra
Hiyo ni athariKuwa mtumwa wa fikra
Halafu hiyo avatar inanishtua
Makanisani kuna fitna hatari.Huku Kinzudi Majengo(Goba)watu wamegombana msikitini hadi wengine wamejenga msikiti waoKuwaongoza watu wanaoamini katika Mungu ni rahisi zaidi?
Faida zake:-.Mpaka sasa nafikisha miaka 43,nimeijua moja tu,nayo ni kusaidia kwenye elimu, nje ya hapo sijaona
Hapa nazungumzia UKRISTO NA UISLAMU.
Mkuu, wewe huna dini? Kama una dini, umeona faida moja tu?Mpaka sasa nafikisha miaka 43,nimeijua moja tu,nayo ni kusaidia kwenye elimu, nje ya hapo sijaona
Hapa nazungumzia UKRISTO NA UISLAMU.
Mbona visa vinavyoashiria ukosefu wa hicho unachokizungumzia vipo vingi tu
- ) Hukujenga kiimani ya kumjua na kumtumikia Muumba
- ) Hukujenga kiimani kutambua ya kuwa siku ya hukumu kutakua na ufufuko wa kiroho kwa kila mwanadamu na kwa wale waliofuata amri za Muumba basi watakwenda kuishi naye daima na milele huko mbinguni .
Ndo maana nikasema ni Imani kwamba kama utachagua kuamini basi ufuate hiyo miongozo ya kidini na kama utachagua kutokuamini basi uishi tu mpaka mwisho wa maisha yako utakufa na kuzikwa kwa imani unayoichagua na kuifuata.Mbona visa vinavyoashiria ukosefu wa hicho unachokizungumzia vipo vingi tu
mbinguni Ni wapi?
- ) Hukujenga kiimani ya kumjua na kumtumikia Muumba
- ) Hukujenga kiimani kutambua ya kuwa siku ya hukumu kutakua na ufufuko wa kiroho kwa kila mwanadamu na kwa wale waliofuata amri za Muumba basi watakwenda kuishi naye daima na milele huko mbinguni .
haya yote unaweza kuyapata hata bila kuwa na diniHakuna hasara kuwa na dini.
Kuwa na ndugu wa kuja kukufaraji ukipata matatizo,
Kuwa na uhakika wa kuzikwa na kundi la watu.
Kutarajia pepo japo hakuna mwenye uhakika kuwa ataingia huko peponi.
Kupuuzia mambo ya dunia kama pombe,majungu, wizi riho mbaya, uzinzi nk.
Kuwa na upendo.
Kusaidia wasiojiweza.
Kuwa na upeo wa dunia nk
Kutokuburuzwa na mafisadi waliounda serikali mfano Al shabab l, hawataki kuendeshwa na serikali bali kujiamulia cha kufanya.
Kufanya meditation(sala), hii huleta utulivu wa akili.
Kuishi popote ili mradi kuna mwanadini mwenzako.
Mkiristo akienda nchi yoyote ya ulaya anaweza kuishi kwa kupata saport kutoka kwa waumini.
Kupata misaada kutoka ng'ambo ulaya na uarabuni.
Mkuu Iran,Israel,Iraq,Syria amani hakunaFaida zake:-.
Kuishi kwa Amani
Kuishi kwa maadili
Kuishi na binadamu wenzio (ndg. Jirani, wenza,nk nk) kea heshima na muamala, desturi.
Kutii amri za Muumba na kuomba msamaha unapohisi au kukosea..
Kutunza familia yako bila kubaka wanao!!! (Niwieradhi)
Kujenga matumaini ya ahera (maisha baada KIFO chako)
Karibu nikutsmbulishe Mwenyezi Mungu na sifa zake.
Sipajui mkuu, ila dini inatufundisha ndipo tutaenda kuishi daima na milele baada ya ufufuo wa ki roho kutokana na kifo cha hapa duniani kama tutafata amri zilizoshushwa na Muumba.mbinguni Ni wapi?