MfalmewaKiha
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 1,191
- 1,247
Poa mkuu nipo nafanya mpango ,kati ya Namibia,Botswana au Morocco
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umekuja kuwavunja moyo wenzako!!!mie nipo hapa ghhabarrone,najibulla motel,nyerere driving,hapa botswan ni pazur,lkn hakuna fursa km huko kwetu tanzani,
Sent using Jamii Forums mobile app
okay for how long have been in BotswanaHabari. Natoka Botswana, pia naishi Botswana sasa. Kiswahili changu hakikizuri lakini ukitaka kuniuliza tafadhali tumia kiingereza.
Sent using Jamii Forums mobile app
mie nipo hapa ghhabarrone,najibulla motel,nyerere driving,hapa botswan ni pazur,lkn hakuna fursa km huko kwetu tanzani,
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukipata niambie namm huku tz ckuelewiHabarini ndugu zangu?
poleni Sana na majukumu. Napenda kufahamukidogo kwa MTU mwenye experience na maisha ya Botswana ,ni me somea course ya Afya, natamani Sana kufanya kazi kule.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi kupata kazi hukomie nipo hapa ghhabarrone,najibulla motel,nyerere driving,hapa botswan ni pazur,lkn hakuna fursa km huko kwetu tanzani,
Sent using Jamii Forums mobile app
Umalaya. Wazimbabwe baada ya uchumi wao kuvurugwa karibia wote wamekimbilia Botswana na SA.sasa kwa mtu aliyena elimu ya kidato cha nne tu na kafaulu vizur ila hajaweza endelea na masomo anaweza fanya issue gan hapo BOTSWANA ?
Wareng EraHabari. Natoka Botswana, pia naishi Botswana sasa. Kiswahili changu hakikizuri lakini ukitaka kuniuliza tafadhali tumia kiingereza.
Sent using Jamii Forums mobile app