NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,959
- 2,938
SI HADI WAJUE MAMCHANGANYIKO MKUUMbona wangekuwa nayo wengi sana
SI HADI WAJUE MAMCHANGANYIKO MKUUMbona wangekuwa nayo wengi sana
Tell them mamaWanaume wa Jf asilimia kubwa mnapenda sana wanawake wenye makalio makubwa ila akija shoga yenu mmoja kuponda wanawake wenye makalio...basi mashoga wooote mnajazana kwenye uzi wake kuwaponda wenye makalio wakati kutwa mko nasi Pm kuomba kutuona misambwanda yetu.
Mtapata tabu sana.
HahahhaTell them mama
We acha tuuu mi ndiyo maana nataka nianze kushinda gym nitengeneze takooo
HaaahhhhhSasa mie mwenye bwawa la nyumba ya Mungu nafanyaje jamani ngoja Nile kwa wingi mswabandwa wangu umuzidi posh queen maana ndo ugonjwa wenu mabazazi mjini hapa
Usichome na MchinaNinalo mkuu nataka nichome na mchina juu
Kama ulijuaNguo tu hizo, akishazitoa michilizi utakayoiona lazima uombe chenji.
Wee mwenyewe hapo unaonekana unalo...Duh mitako mingine hasara,La nini sasa lote hil0???
Kumbe?Wee mwenyewe hapo unaonekana unalo...
SanaaKumbe?