Nataka kumuoa huyu mlimbwende wa JF

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,428
40,416
Habari wakuu,

Kuna mlimbwende mmoja humu amenivutia sana, nataka msimu ujao wa mavuno, niweze kutangaza ndoa kabisa.

Huyu mrembo ameiteka sana akili yangu, mpaka uwezo wa kufikiri umepungua; nilipo pishana naye tu barabarani, ilikuwa kidogo tu nigongwe na bajaji.

Kupitia huu uzi, anatakiwa ajitambue yeye tayari ni mke mtarajiwa wa equation x, na ajiandae kwa mipangilio ya familia ya kuwa na watoto wengi hapo baadaye.

Najua atapitia huu uzi, jina lake linaishia na h.

Wakuu nipeni baraka zenu.​
 
Habari wakuu,

Kuna mlimbwende mmoja humu amenivutia sana, nataka msimu ujao wa mavuno, niweze kutangaza ndoa kabisa.

Huyu mrembo ameiteka sana akili yangu, mpaka uwezo wa kufikiri umepungua; nilipo pishana naye tu barabarani, ilikuwa kidogo tu nigongwe na bajaji.

Kupitia huu uzi, anatakiwa ajitambue yeye tayari ni mke mtarajiwa wa equation x, na ajiandae kwa mipangilio ya familia ya kuwa na watoto wengi hapo baadaye.

Najua atapitia huu uzi, jina lake linaishia na h.

Wakuu nipeni baraka zenu.​
Hannah au nani? nisijekuwa kama yule wakukurupuka...

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Habari wakuu,

Kuna mlimbwende mmoja humu amenivutia sana, nataka msimu ujao wa mavuno, niweze kutangaza ndoa kabisa.

Huyu mrembo ameiteka sana akili yangu, mpaka uwezo wa kufikiri umepungua; nilipo pishana naye tu barabarani, ilikuwa kidogo tu nigongwe na bajaji.

Kupitia huu uzi, anatakiwa ajitambue yeye tayari ni mke mtarajiwa wa equation x, na ajiandae kwa mipangilio ya familia ya kuwa na watoto wengi hapo baadaye.

Najua atapitia huu uzi, jina lake linaishia na h.

Wakuu nipeni baraka zenu.​
Wanawake ambao wanaakisi mawazo yako ni:-
1. To yeye
2. Demi
3. Nakadori
4. Kapeace
5. Depal
6. Antonnia

Tueleze ni yupi kati ya hao
 
Back
Top Bottom