so what
"Simple minds discuss people while great minds discuss ideas"
hivi kwenye website ya bunge si kuna CV's za kila MP?
Huyu ndiye Waziri Mkuu wa Tanzania 2025!. Na isingekuwa ile nadhiri kuhusu urais na wa/Chagga/Haya/Nyakyusa, then huyu ndio alipaswa awe mgombea wa urais kupitia Chadema!. PM wa 2015 ni Freeman Mbowe but only if...!.form 4 div 1 pts 7 na A(9) out 10 maua sec, A level div 1 pts 3 Tambaza sec then akajiunga chuo (udsm) kamaliza BBA wakati wakiwa udsm na akina zitto na mdee walianzisha mtandao wao ulikuwa unaitwa Tz students netwek prgm(TSNP) ambayo mara ya mwisho m/kiti alikua owawa, mmoja kati ya waanzilishi wa asasi za kijamii kama UNA, TYVA na pia muanzilishi wa n.g.o inaitwa UDI. Hiyo kwa kifupi 2. Aligombea ubungo mwaka 2005 mara 2 alipomaliza chuo na akiwa na umri wa miaka 24. in short ni m2 mwenye kipaji cha pekee.
https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/145463-cv-ya-john-mnyika-2.html
form 4 div 1 pts 7 na A(9) out 10 maua sec, 1998, A level div 1 pts 3 Tambaza sec then akajiunga chuo (udsm) kamaliza LLB wakati wakiwa udsm na akina zitto na mdee walianzisha mtandao wao ulikuwa unaitwa Tz students netwek prgm(TSNP) ambayo mara ya mwisho m/kiti alikua owawa, mmoja kati ya waanzilishi wa asasi za kijamii kama UNA, TYVA na pia muanzilishi wa n.g.o inaitwa UDI. Hiyo kwa kifupi 2. Aligombea ubungo mwaka 2005 mara 2 alipomaliza chuo na akiwa na umri wa miaka 24. in short ni m2 mwenye kipaji cha pekee.
Sisi wana ubungo hatumtaki hata kumsikia tapeli wa siasa huyo,Hakika huyu ndiye mbunge ninaemkubali katika bunge la jamhuri ya muungano Tanzania. Wadau naombeni kumfahamu kwa kina hasa elimu yake.
Hakumaliza UDBS alitimuliwa maelezo yake yamo humu usilete uongo hapaAsante kaka
Hahahah upo bar gani leo uletewe mbenge sio kwa shobo hiziHuyu ndiye Waziri Mkuu wa Tanzania 2025!. Na isingekuwa ile nadhiri kuhusu urais na wa/Chagga/Haya/Nyakyusa, then huyu ndio alipaswa awe mgombea wa urais kupitia Chadema!. PM wa 2015 ni Freeman Mbowe but only if...!.
Pasco.
Sawa sawaHuyu ndiye Waziri Mkuu wa Tanzania 2025!. Na isingekuwa ile nadhiri kuhusu urais na wa/Chagga/Haya/Nyakyusa, then huyu ndio alipaswa awe mgombea wa urais kupitia Chadema!. PM wa 2015 ni Freeman Mbowe but only if...!.
Pasco.