Hakika huyu ndiye mbunge ninaemkubali katika bunge la jamhuri ya muungano Tanzania. Wadau naombeni kumfahamu kwa kina hasa elimu yake.
hiki ni kicha cha maua seminary
duh jembe kweli!Wee fahamu alitoka na A flat form six....kwa hiyo unaweza kupima amefika wapi by now....
form 4 div 1 pts 7 na A(9) out 10 maua sec, A level div 1 pts 3 Tambaza sec then akajiunga chuo (udsm) kamaliza BBA wakati wakiwa udsm na akina zitto na mdee walianzisha mtandao wao ulikuwa unaitwa Tz students netwek prgm(TSNP) ambayo mara ya mwisho m/kiti alikua owawa, mmoja kati ya waanzilishi wa asasi za kijamii kama UNA, TYVA na pia muanzilishi wa n.g.o inaitwa UDI. Hiyo kwa kifupi 2. Aligombea ubungo mwaka 2005 mara 2 alipomaliza chuo na akiwa na umri wa miaka 24. in short ni m2 mwenye kipaji cha pekee.
https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/145463-cv-ya-john-mnyika-2.html
Namfahamu vizuri kijana huyu-baada ya STD VII Alisoma elimu ya kuungaunga yaani QT then form four kama private candidate baadae form 5/6 ila hakupata credit na aliishia hapo na akaamua kuingia ktk siasa.
Je, nasikia kuwa alikuwa Tanzania One
hoja ya katiba mpya ilianzia kwake?
Werema anamjua vizuri. "Katiba mpya No! Labda marekebisho". Werema