Naomba kujuzwa zilipo ofisi za Uber

Nenda barabara ya Nyerere (zamani barabara ya Pugu). Mkambala na kiwanda cha sigara, utaziona ofisi zao
 
Ukiwa bunju njoo na iyo barabaran ya moja kwa moja mpk bagamoyo road baadae Ali Hassan mwinyi mpk mjin posta lakini posta yenyewe hufiki NMB HQ pembeni Kuna jengo refuuuu VIVA Tower humo humo utawakuta chapu
 
Ukiwa bunju njoo na iyo barabaran ya moja kwa moja mpk bagamoyo road baadae Ali Hassan mwinyi mpk mjin posta lakini posta yenyewe hufiki NMB HQ pembeni Kuna jengo refuuuu VIVA Tower humo humo utawakuta chapu
Asante sana mkuu🙏
 
Back
Top Bottom